Kobe ni mnyama jamii ya Reptilia ambaye kwa kumtazama tu lazima ujiulize maswali mengi.Kitendo chake cha kuficha kichwa, mwendo wake na gamba lake gumu!!
moja unayotakiwa kuyajua kuhusiana na kobe!!!
[HASHTAG]#KOBE[/HASHTAG] hawezi kuogelea kabisa lakini anaweza kubana pumzi zake kwa muda mrefu sana!! Ukimwondoa Nng’e kobe anafuata kwa uwezo wa kuishi muda mrefu bila kupumua!!!
[HASHTAG]#KOBE[/HASHTAG] wamekuwa ulimwenguni zaidi ya miaka milioni mia mbili iliyopita!!! Ni zaidi ya mijusi na wanyama wengine!!
[HASHTAG]#KOBE[/HASHTAG] wa sasa unaowafahamu wanaweza kuishi hadi miaka mia moja!!
[HASHTAG]#KOBE[/HASHTAG] wameweza kuishi kila bara kasoro bara moja tu Antarctica!!
[HASHTAG]#Gamba[/HASHTAG] la kobe limeundwa na mifupa 60 tofauti tofauti!! Na mifupa hii yote imeungana.
[HASHTAG]#Kobe[/HASHTAG] wa kike hutaga kati ya mayai mawili hadi kumi na mawili na huchukua siku 90 hadi 120 kuyaatamia na hatimae kutotoa.
[HASHTAG]#Kobe[/HASHTAG] wa kike ana uwezo wa kutaga kila baada ya miaka mitatu baada ya kukutana na kobe dume!!
[HASHTAG]#Kobe[/HASHTAG] hana hata jino moja!!
[HASHTAG]#Licha[/HASHTAG] ya kuwa na gamba gumu sana, kobe akiguswa hata na unyoya wa kuku anatambua kuwa ameguswa!! Ana hisia kali sana!!
[HASHTAG]#Kobe[/HASHTAG] mkubwa kabisa duniani ana uzito wa kilogram mia saba.. hii inamfanya kuwa reptilia mzito kupita wote!!
[HASHTAG]#Kuna[/HASHTAG] aina 40 ya kobe!!!
Huyu ndiye kobe………