Wwe ndo unaona anateseka huyo yupo ulimwengu wa pili akitumika akimaliza mkataba wake huko anaweza rudi duniani au kutorudi inategemea na mkataba wa anayemtumikia huko.Kuna watu wanateseka hapa duniani.
Wengi uzikwa wakiwa hai mtu kwa kuzimiaInahuzunisha, ingekuwa Afrika angeshazikwa zamani. Picha ya mkewe tafadhali.
Sawa mkuu Kiranga kila la heri ila kikikamilika usikose kututaarifu humu.Ni haki yake ya kikatiba.
Mimi naandika kitabu sasa hivi sijapata muda wa kubishania haya.
Mkuu fanya mchakato wa Uzi wa hio mada.Wwe ndo unaona anateseka huyo yupo ulimwengu wa pili akitumika akimaliza mkataba wake huko anaweza rudi duniani au kutorudi inategemea na mkataba wa anayemtumikia huko.
Hii ni elimu ya kiroho