hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
😃😃😃 basi huyo Mungu hafai. .mbona anaonyesha kuwa utendaji wake umejaa upendeleo kwa baadhi ya watu. .wakati katika vitabu vyenu mnasema kuwa mungu ana upendo kwa wote. .mwenye upendo kwa watu wote anawezaje kuwa na upendeleo kwa baadhi ya watu kiasi hicho. ..?Usiseme hivyo na jutia kauli yako. Mungu anafanya kazi yake kwa namna mbali mbali, anakupa shibe wewe mwingine anampatia njaa. Anakuja kifo wewe ananipa uhai Mimi. Aliyekuinua wewe ndie atakae nishusha Mimi. Yote haya ni kudhirisha ukuu wake, ndie muweza wa yote na ndie muamuzi ya yote. Ndio maana hatupaswi kulaumu Bali yatupasa tushukuru kwa kila jambo.
Kufanya hivyo au kuruhusu yote hayo ni kwamba tumtegemee yeye tu.