Mjue Mchezaji mpira Jean Pierre Adams ambae bado yupo kwenye COMA kwa takriban miaka 38

Usiseme hivyo na jutia kauli yako. Mungu anafanya kazi yake kwa namna mbali mbali, anakupa shibe wewe mwingine anampatia njaa. Anakuja kifo wewe ananipa uhai Mimi. Aliyekuinua wewe ndie atakae nishusha Mimi. Yote haya ni kudhirisha ukuu wake, ndie muweza wa yote na ndie muamuzi ya yote. Ndio maana hatupaswi kulaumu Bali yatupasa tushukuru kwa kila jambo.
Kufanya hivyo au kuruhusu yote hayo ni kwamba tumtegemee yeye tu.
😃😃😃 basi huyo Mungu hafai. .mbona anaonyesha kuwa utendaji wake umejaa upendeleo kwa baadhi ya watu. .wakati katika vitabu vyenu mnasema kuwa mungu ana upendo kwa wote. .mwenye upendo kwa watu wote anawezaje kuwa na upendeleo kwa baadhi ya watu kiasi hicho. ..?
 
😃😃😃 basi huyo Mungu hafai. .mbona anaonyesha kuwa utendaji wake umejaa upendeleo kwa baadhi ya watu. .wakati katika vitabu vyenu mnasema kuwa mungu ana upendo kwa wote. .mwenye upendo kwa watu wote anawezaje kuwa na upendeleo kwa baadhi ya watu kiasi hicho. ..?
Kuna Siri kubwa hapo, kwa Nini anafanya hivi. Na ikumbukwe Mungu hakutaka tuwe hivi Bali ilitokea baada ya Adamu na Hawa kuika maagizo.
 
Kuna matukio hayapo wazi sehemu flani ya dunia ila kila kitu kikiwa wazi nahisi kuna asilimia flani ya wanadamu watabadirika kuliko mtu unavyofikikia walivyo😢!.
 
Aiseee toka nimekuwa jf hakuna mada ambayo akili yangu inasoma negative kuiamini kama hii!!..
Miaka 38 kwenye coma! Mke akatae madaktari washindwe kufanya Yao..
Naona tunalazimishana kuwa sayari ya mars wakati bado tupo duniani hapahapa aliposhushwa shetwain..!
hata ww si una weza google jina la uyo mchezaj uone yasemwayo n kwel ama laa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom