Hayo waliyokuwa wanafanya akina Kagame na Museveni yalibarikiwa Ikulu ya Magogoni na usikute hata unavyomsifia Kagame Backup ya Intelligence alikuwa anaipata kutoka TZ, Jiulize swali kama anaijua vizuri Intelligence mbona Kashindwa kumuondoa Kaguta pale UG, Mbona M23 ilikufa kifo cha mende baada ya General Mwakibolwa kuwapiga mizinga ya kutosha hadi Kagame akaingia bifu na JK?
Sent using
Jamii Forums mobile app