Kujisifu kote kumbe alirithishwa kampuni. Marekani hawana rais kwa staili hii
Donald Trump alizaliwa June 14, 1946, Mmarekani mfanyabiashara ambae sura yake si ngeni kwenye TV, pia ni mwanasiasa na mfanyabiashara.
Trump alizaliwa katika jiji la New York na alipata shahada yake ya uchumi mwaka 1968 kutoka Chuo Kikuu cha Pennyslavania. Akiwa mwanafunzi alifanya kazi kwenye kampuni ya baba yake iliyojihusisha na ujenzi, na mwaka 1971 alikabidhiwa hati miliki za kampuni hiyo.
mama kamlipua jana kumbe hata nyumba zake ilikuwa marufuku kupangisha watu weusi yeah ndio bonge la kiongozi huyoTrump ni bonge la kiongozi ngoja aishike USA atonyoooshe tulio zoea vya kunyonga
Yeah like supporting search and frisk jana mama kamwanika huyu mbaguzi lakini bado hamuoni, ill never vote to this fraudHuyu jamaa akiwa rais dunia itakuwa ni burudani burudani.
Trump ana mbagua nani? Mtu mweusi? Sasa kule ni Marekani ni nchi yao weupe.Mbaguzi
mama kamlipua jana kumbe hata nyumba zake ilikuwa marufuku kupangisha watu weusi yeah ndio bonge la kiongozi huyo[/QUOTE
Well said. ....waafrika lazima tuamke tuanze kujilinda wenyewe. ..hawa watu hawatupendi hata na hawatutakii mema hata kidogo. ..MAULANA wangu linda nchi yangu Tanzania milele utuzidishie hekima na busara. ...
Well saidEgoist wa kutupa- I me and myself. Jana Bi Clinton slayed the giant .
Ww ni muongo kwasababu ukisema trump ni mbaguzi mbona trump kwenye kampuni yake amewaajili watu weusi.mama kamlipua jana kumbe hata nyumba zake ilikuwa marufuku kupangisha watu weusi yeah ndio bonge la kiongozi huyo
Hata kama alirithishwa lakini baada ya kurithishwa hizo Kampuni zilidhoofu au ziliimarika?Kujisifu kote kumbe alirithishwa kampuni. Marekani hawana rais kwa staili hii
Mike Tyson kwao wapiTrump ana mbagua nani? Mtu mweusi? Sasa kule ni Marekani ni nchi yao weupe.
Tukisema Trump hatashinda kisa ubaguzi, population ya US itatuumbua. Ratio Kati ya blacks na whites.
Watu wengi saivi dunia, nchi kibao zinaingia kwenye Neo-nationalism, ndio kutokea kwa brexit etc...kwa mfumo huo wa sasa, watu kuweka nchi zao mbele kwanza inatosha kuleta picha kuwa Trump atashinda tho media zinambana na kumwekea bad coverage ila box la kura halitadanganya.