Mjue Alinacha na ndoto yake

Mjue Alinacha na ndoto yake

Kumekuwa na mazoea sana kwa Watanzania wengi kumwambia mtu mwenye ndoto au mawazo yasio na uhalisia au ndoto zisizotimi kuwa hizo ni "NDOTO ZA ALINACHA"

Ningependa kujua Wakuu je huyu ndgu yetu ALINACHA alipata kuishi? je alifanya nn mpaka leo tuna refer ndoto zisizotimia kwajina lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni jamaa mmoja hivi alikua na ndoto za alinacha kwenye kitabu cha alinacha
 
halafu mdogo wake aliitwa abunuwasi
 
Back
Top Bottom