bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,095
Mjomba kile choo kimeshatitia, sasa hivi wananzengo hawana pa kujisaidia
Mjomba, uliwateua wawe wakuu wa bandari, ila umesahau hawawezi kwa kuwa ni mabashitle
Mjomba, wanadai wanatetea haki zetu kumbe wametupokonya milioni. 200, na kutuua tukiwa kwenye daladala
Mjomba, mi ntoto wa dada yako nitetee, dada anakugwaya kwa sababu uko kimya
Mjomba, uliwateua wawe wakuu wa bandari, ila umesahau hawawezi kwa kuwa ni mabashitle
Mjomba, wanadai wanatetea haki zetu kumbe wametupokonya milioni. 200, na kutuua tukiwa kwenye daladala
Mjomba, mi ntoto wa dada yako nitetee, dada anakugwaya kwa sababu uko kimya