Mji wa Geita wasimama, Maelfu wampokea John Magufuli akiwa njiani kuelekea Chato

MwanaDiwani hizi picha zimekuwa "anxiety provoking stimulus" kwa vijana wa UKAWA aka Coalition of Wapigadili...
wewe unayo shida nilichojibu kinatosha sana kuonyesha msichokiona.hao watu wa chato bado hawakuti watu wa msigwa au Lema,au sugu au wenje, etc.Mbaya zaidi yupo jimboni kwake ,kwa watu wakabila lake weny emsisimmko kwamba nao wanamgombea wa urais.
 
watu wakishamshangaa km kweli magufuli ndio anapeperusha bendera ya CCM ndio hapo wale maadui zake wataanza dili nae na wataanza kumbuka ushenzi wake na km akipewa kura itakuweje..soon atakuwa napita mitaani bila mtu.
 
Mwanadiwani huo ni mtizamo wangu kama ulivyomtizamo wako kusema haijawahi kutokea kama mapokezi ya magufuli ktk maeneo ya chato,geita na katoro wadanganye wasioyafahamu maeneo hayo.kumbuka mwezi Jana mlikuwa na kinana pande hizo mbona mikutano yenu ilipata umati kama huo.yeyote atakaye na aje atapata mapokezi ya kufana.
 
Umati unatisha.....mtashinda.....mabadiliko hakuna

Sawa ACT wazalendo, umeshawekwa mfukoni hata mwezi wa 10 haujafika wanaposema ACT wazalendo ni kifaranga cha CCM huwa mnakuwa wakali kama mamba anaetafuta mawindo yake.
 
Mbwembwe nyingi utafikiri watu wanampango wa kumchagua Magufuli wakati watu wanakwenda kushangaa vituko vya CCM kwa kuwaacha wagombea bora ambao wengeweza kuwa marais bora na kumpitisha Magufuli ambaye hafai hata kupewa uwenyekiti wa kitongoji.
 
Mwanadiwani siku hizi naona umeanza kupoteza sifa,huwezi kusema haijawahi kutokea wakati tayari imetokea iringa kwa mch msigwa jana
 
Ndugu,
Angekuwa hana mpango nadhani usingepoteza muda wako adhimu kuweka mchango wako.

Mwanadiwani ebu pitia jinsi watu walio jazana kumsikiliza mchungaji msigwa jana mjini iringa ndio utajua kuwa huyo magufuri hata kwao hakubaliki
 
Hao watu wanamshangaa tu hilo eneo ni la highway nalifahamu lina watu wengi watakaomsapoti hapo hawazidi 30 hiyo ni ngome ya CHADEMA.
 
NOmba kuuliza tu,hii ni indirect campaign?Sidhani kama ni utambulisho tu.Any way hata Tume ya Uchaguzi ni Tawi la CCM sitoshangaa sana.
 
Kama kawaida unapogombea hizi nafasi mnakuwa wapole,wanyenyekevu ngoja mpate ndiyo mnajionyesha mlivyo.

Makufuli hana haja ya kujifanya yeye ni mnyenyekevu report ya CAG imemuonyesha kama alishindwa kwenye kawizR kadogo,ataweza kuipinga rushwa kwenye Taifa?

Kama aligawa nyumba mpaka kwa mahawara sidhani kama ataweza kuzuia raslimLi zetu kwenda kwa mahawara wa ccm aka wawekezaji.
 
Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa mji mdogo wa Katoro mkoani Geita akiwa njiani kueleka Chato.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufuli akiwashukuru wananchi wa Katoro kwa kujitokeza kwa wingi na kuwaahidi kurudi tena wakati wa kampeni na kuzungumza yale yaliyopo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM.


Umati wa wakazi wa Katoro ukimsikiliza mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Pombe Magufuli.
Mbunge wa Jimbo la Busanda, Mhe. Lolesia Bukwimba akiwasalimia wakazi wa Katoro wakati wa kumtambulisha mgombea Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
DK. John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Katoro.


Umati wa wakazi wa Katoro ukiwa umefurika kumsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dk.,John Pombe Magufuli akiwaaga wakazi wa mji mdogo wa Katoro .

Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Chato wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa stendi ya zamani.
Bango lenye ujumbe unaodhihirishwa na umati wa wananchi.
Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza, Ndugu Miraji Mtaturu akiwasalimu wakazi wa Chato kwenye mkutano wa kumtambulisha mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
Naibu Katibu Mkuu wa CCm (Bara), Ndugu Rajab Luhwavi akiwasalimu wananchi wa Chato wakati wa mkutano wa kumtambulisha mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa stendi ya zamani ya Chato,mkoani Geita.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, Joseph Musukuma akiwasalimu wakazi wa Chato kabla ya kumkaribisha mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kuwasalimu,kujitambulisha na kuwashukuru wananchi kwa kipindi cha miaka ya 20 aliyoitumikia kama Mbunge.
Mbunge wa Buchosa, Dk.Charles Tizeba akiwasalimu wananchi wa Chato wakati wa kumtambulisha mgombea wa urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli (katikati) kwa wananchi wa Chato, Kulia ni mbunge wa viti maalumu mkoa wa Geita, Mhe. Vicky Kamata.
Mhe.Vick Kamata, mbunge wa viti maalumu mkoa wa Geita akisalimu wakazi wa Chato wakati wa kumtambulisha mgombea wa Urais kupitia CCM, Dk.John Pombe Magufuli.
Richard Ndasa, mbunge wa jimbo la Sumve akimpa mkono wa heri mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kumtambulisha kwa wananchi wa Chato.
Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kumtambulisha kama mgombea wa Urais na kuwaaga kwa kuwatumikia kwa miaka 20 ya ubunge.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wakazi wa Chato mara baada ya kumaliza mkutano wa kujitambulisha wananchi wa Chato

Mvinyo mpya chupa ya zamani!aaah aaah!hakuna jipya hapooo!Vicky Kamata na huku nako?opportunist!
 
umati wa malori hata sio wa kushangaa,pichq halisi ya chato ilishaonekana uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana.
 
Hana mpango ni fisadi tu ndani ya kundi la mavisadi viwete

Siamini kuwa wa-TZ tunadanganyika kirahisi hivyo! Ni kweli hana mpango. Historia inatupatia majibu kuwa jamaa huwa wanakuja na mbwembwe kibao! Muda ukufika tunaanza kujuta! Yapo wapi maisha bora kwa KILA M-TZ? Jamaa naye anasema mniamini sitawaangusha!!! Kumbe anajua huko nyuma "wenzake" walishatuangusha!
 
magufuli geita.jpg

jembe hilo likipokelewa. ni wazi kuwa jamaa ataiboresha nchi akipewa nafasi na watu wanaimani nae
[h=2] Magufuli defends roadwork workmanship[/h]


THE Minister for Works, Dr John Magufuli.



THE government has defended the quality of roads constructed in the country, but appealed to transporters to strictly observe the weight limit for the infrastructure to last long. Works Minister, Dr John Magufuli, told the Parliament here that most roads were of high quality and dismissed the claims of a lawmaker who questioned the quality of the network constructed recently. Wawi Member of Parliament (CUF) Hamad Rashid Mohamed had observed in his supplementary question that most roads launched recently already had potholes and in dire need for repairs. “We have a number of roads that are full of potholes and generally in bad shape despite the fact that they were only constructed recently,” noted Mr Mohamed. However, Dr Magufuli said the government has set stringent measures to ensure quality of the infrastructure, but observed that each road has a life span, depending on the material used. He cited the Highway linking Tanzania and Zambia (Tanzam) which was built in the 1970s and now undergoing repairs. He conceded that overloading remains a major problem, noting that despite the government allowing a generous 56 tonnes, some transporters still exceeded the set weight limit and end up damaging the country’s roads. According to him, the European Union countries have set a weight limit of between 40-44 tonnes on their roads while the United States only allows 36 tonnes. Meanwhile, Dr Magufuli said the government had completed feasibility study and detailed design of the 364-kilometre Mpanda to Tabora road and was currently negotiating with the African Development Bank for release of funds to cover 334 kms, while the government will spend own funds to complete the remaining 30km. The minister was answering Said Arfi (CCM-Mpanda Urban) who sought to know progress made so far in implementing the project.
 
Back
Top Bottom