Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Mbona bei rahisi mkuu, wakati voel vijumba vya kupachika kwenye gaei navyo vinachezea kati ya dollar 50000 mpaka 100000.Mjengo kama huu ungekuwa upo kwenye jiji ambalo hata maji ni shida ungeambiwa ni bilioni moja kuukamilisha!, lakini ulaya bei yake ni usd 89,900 sawa na 20856
View attachment 2404269
8000tsh!(milioni mia mbili na nane laki 5 na Elfu sitini na nane)View attachment 2404270