Mjasiriamali maarufu ampiga kisu mteja wake.

Mkeshaji

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,262
1,416
Salaam,
Kuna jamaa anaitwa Godi, ana bar yake pale Mbezi Louis (Mwisho) maarufu sana hasa nyakati za usiku mkuu.

Inasemekana huyu jamaa amempiga jamaa mwingine kisu mara mbili maeneo ya shingo. Tukio hilo limetokea katika kipindi hiki cha sikukuu, na chanzo cha mashambulizi hayo bado hakijajulikana ila inasemekana huenda ikawa ni mzozo uliosababishwa na kutoelewana baada ya vinywaji.

Jamaa aliyepigwa kisu hakufa lakini hali yake si nzuri.

Inasemekana Godi anatafutwa na vyombo vya dola na hajulikani alipo hadi sasa.

Wasalaam.
 
Nasikia alijisalimisha,ila anamhudumia jamaa mpaka apone,inasemekana wivu wa mapenzi,kuna mhudumu godi alikuwa anakula alafu jamaa akataka kumfaulisha,source ndugu yangu anakaa mbezi
 
Kweli kinywaji kinaweza kuwa sababu ya kupelekea mtu kumpiga mwenzake kisu? Mimi nadhani sababu inaweza kuwa wivu wa kimapenzi kwa hawa dada zetu wanaotuhudumia vinywaji (BARMAIDS).Bw Godi pamoja na kumiliki bar aliona anaingiliwa kwenye anga zake akaamua kukita kisu kwenye shingo ya jamaa.
 
Lakini Godi popote ulipo tambua kwamba mkono wa sheria ni mrefu utabainika tuu bora ujisalimishe mwenyewe.
 
wote ni walevi hao eh....! kova atasema haliwahusu ni mambo binafsi!
 
Nasikia alijisalimisha,ila anamhudumia jamaa mpaka apone,inasemekana wivu wa mapenzi,kuna mhudumu godi alikuwa anakula alafu jamaa akataka kumfaulisha,source ndugu yangu anakaa mbezi
Basi pale kwa Godi ni pa kupaogopa sana. Maana unaweza ukawa unaongea na mhudumu halafu Godi akaelewa sivyo then ukala knife la shingo, na ukawa buriani. Huyu ambaye yupo hai hadi sasa ni kama zali tu.

Halafu wahudumu wake anachukuaga viwango, sijui anawatoa wapi.
 
Basi pale kwa Godi ni pa kupaogopa sana. Maana unaweza ukawa unaongea na mhudumu halafu Godi akaelewa sivyo then ukala knife la shingo, na ukawa buriani. Huyu ambaye yupo hai hadi sasa ni kama zali tu.

Halafu wahudumu wake anachukuaga viwango, sijui anawatoa wapi.

alafu wewe kama nakukumbuka vile pale kwa godi, si tulikaa siku moja kule juu karibu na kaunta, ulikuwa unamwangalia sana yule mhudumu mweny 'bambataa' kubwa,yule mweupe. Nimependa jina lako la Mkeshaji
 
Huyu jamaa alishawahi kuua, sasa kama hii ni issue nyingine tena... ni lazima pafungwe hapo kwa usalama wa raia!
 
alafu wewe kama nakukumbuka vile pale kwa godi, si tulikaa siku moja kule juu karibu na kaunta, ulikuwa unamwangalia sana yule mhudumu mweny 'bambataa' kubwa,yule mweupe. Nimependa jina lako la Mkeshaji
Hahah. Aisee pale kwa Godi sitii timu tena. Kama jamaa mwenyewe jambia njenje!
 
Godii ni maarufu kutokana na bar yake ambayo inakesha na kuwepo na wadada wanaouza puchi zao. Hapohapo kuna guest house za 5000 hadi 10000. Ukipata chumba usiku ni bahati sana.
 
Godii ni maarufu kutokana na bar yake ambayo inakesha na kuwepo na wadada wanaouza puchi zao. Hapohapo kuna guest house za 5000 hadi 10000. Ukipata chumba usiku ni bahati sana.

pale unaweza ukafika bei mhudumu ukazama naye fasta then akarudi kazini, (nimeona,sijajaribu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom