mzee msoko
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 112
- 204
Habari za leo wana JF,
Mimi nina mke ambae kwa sasa ana ujauzito wenye miezi 5 lakini ni kama mwezi mmoja sasa anapata KWIKWI mfululizo isiyokwisha.
Je, yaweza kuwa tatizo nini?
Mimi nina mke ambae kwa sasa ana ujauzito wenye miezi 5 lakini ni kama mwezi mmoja sasa anapata KWIKWI mfululizo isiyokwisha.
Je, yaweza kuwa tatizo nini?