Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Mwanamke mmoja (jina kapuni) amefika temeke hospitali jana na kudai kuwa mjamzito, na baada ya muda kidogo akampigia simu mme wake kuwa amejifungua mtoto, lakini daktari wake amemwamia kuwa mtoto kafariki na kaondoka na kichanga hicho kusikojulikana, (hisia ikatawala kuwa daktari kaiba kichanga hicho)
Mme wake alipofika tmk hosp, aliwaeleza wauguzi kuwa mkewe alikuwa mja mzito, ktk kutafuta ukweli, huyo mwanamke alipimwa na vipimo vimeonesha kuwa hajawahi kushika mimba zaidi ya miezi 12 iliyopita,
Unamshauri nini mme wake? na huyo mama yuko chini ya ulinzi sasa
Mme wake alipofika tmk hosp, aliwaeleza wauguzi kuwa mkewe alikuwa mja mzito, ktk kutafuta ukweli, huyo mwanamke alipimwa na vipimo vimeonesha kuwa hajawahi kushika mimba zaidi ya miezi 12 iliyopita,
Unamshauri nini mme wake? na huyo mama yuko chini ya ulinzi sasa