Habari za kutwa!
Naombeni msaada, nimekuwa nikiumwa sana tumbo la hedhi linaniuma mnoo siwezi kufanya kitu chochote likiniuma. Nimetumia sana diclofenac na buscopan ila hazinisaidii sana nikitaka kupona kabisa nisisikie maumivu kabisa basi nichome sindano ya diclofenac.
Nilishawahi tumia magome fulani ukichemsha maji yanakuwa na wekundu ila haijanisaidia.
Naombeni msaada wenu mwenye kujua tiba niondokane na hili tatizo! Linanitesa sana