Tushirikishane
Member
- Aug 9, 2016
- 13
- 67
Mradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Nzega mjini chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Mbunge Hussein Bashe
Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Nzega mjini.
Ahadi walizochagua kufuatilia wananchi wa Nzega mjini kwenye mradi wa TUSHIRIKISHANE ni:
Picha ya pamoja na washiriki toka Nzega. Waliokuwa wamekaa ni madiwani
Mada hii itatumika zaidi na Wana Nzega kutupa taarifa.
Baadhi ya Washiriki watakuwa:
Karibuni...
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Nzega[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
=======
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Nzega mjini.
Ahadi walizochagua kufuatilia wananchi wa Nzega mjini kwenye mradi wa TUSHIRIKISHANE ni:
a. Kukamilisha ujenzi wa kituo kipya cha mabasi-Nzega
b. Ujenzi wa Nyumba ya Daktari-Kituo cha Afya Nhobora
c. Kukamilisha mpango wa muda mfupi wa upatikanaji wa Maji safi na salama-Nzega kwa kuongeza mita za ujazo 1300
d. Kukamilisha mabweni na madarasa ya kidato cha 5&6-Sekondari ya Bulunde
b. Ujenzi wa Nyumba ya Daktari-Kituo cha Afya Nhobora
c. Kukamilisha mpango wa muda mfupi wa upatikanaji wa Maji safi na salama-Nzega kwa kuongeza mita za ujazo 1300
d. Kukamilisha mabweni na madarasa ya kidato cha 5&6-Sekondari ya Bulunde
Picha ya pamoja na washiriki toka Nzega. Waliokuwa wamekaa ni madiwani
Baadhi ya Washiriki watakuwa:
1. Mh. Mbunge Hussein Bashe
2. Majaliwa Bilali (Katibu wa Mbunge)
3. Josephat Sanga (Afisa habari Nzega)
4. Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Nzega mjini.
2. Majaliwa Bilali (Katibu wa Mbunge)
3. Josephat Sanga (Afisa habari Nzega)
4. Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Nzega mjini.
Karibuni...
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Nzega[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
=======
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter