yaani mengi ameingiza pesa kimtindo kweli kweli.... nimeamini mengi mjanja kuliko hata RA .... yaani tisha toto tu wameshampelekea pesa asirushe kipindi ...yawezekana hata hicho kipindi kilikua hakijaandaliwa
Kuna tetesi za kuaminika kuwa leo umeme unaweza kuzimwa mida ya sa1 jion ili kuzuia watanzania walio wengi hasi wa Dar es salaam wenye uelewa wa mambo.
Mngekuwa "wenye uelewa wa mambo" kuliko sisi wa mikoani mngeendelea kuwachagua mafisadi wawaongoze. If my memory still serves me well halmashauri zote za jiji la DSM bado zinaongozwa na Chaka Chua Matokeo = CCM.
BTW ili Majadala huo unonge ningependelea wafuatao wawepo. Mh. Ngereja, Mh. Samwel Sitta, Mh. Mwakyembe, Mh. January Makamba, Mh. Mnyika, Dr. Wilbroad Slaa, Mh. Rostam Aziz, Mh. Edward Lowasa, Eng. Muhando, na mdau mmoja wa mambo ya energy ambaye nimemsahau jina lake.
BTW hawa Chaka Chua Matokeo walisharuhusiwa na Yusuph Makamba kushiriki midahalo? I'm afraid hakuna mwanachama yeyote wa CCM atafika kwenye mdahalo huo. I stand to be corrected