Edward nzinza
Senior Member
- Dec 19, 2016
- 116
- 60
Hamtaki na nani? Jisemee wewe eboooo!Mm sjaisoma yote ila nilipoona jina la makonda kutajwa tu nikajua ndo wale wale wapiga vuvuzera....hivi ata kama vyeti sio vyake na hana elimu hiyo mchango wake hauonekani?...tumekuwa na wasomi wangapi na hawajafanya lolote kwa taifa hili....tumewapeleka bunge la katiba badala ya kujadili rasimu wakatoka nje elimu yao wameitumia vipi?....Wewe kama unaona kalamu yako inakusahidia sana kawaandikie Chadema sera za kuombea kura 2020,sio cheap reason kama hii ishu ulokuja nayo....hii nchi kuishi kwa madili muache.Hatutaki madawa full stop na tunamtaka makonda full stop.
Mm sjaisoma yote ila nilipoona jina la makonda kutajwa tu nikajua ndo wale wale wapiga vuvuzera....hivi ata kama vyeti sio vyake na hana elimu hiyo mchango wake hauonekani?...tumekuwa na wasomi wangapi na hawajafanya lolote kwa taifa hili....tumewapeleka bunge la katiba badala ya kujadili rasimu wakatoka nje elimu yao wameitumia vipi?....Wewe kama unaona kalamu yako inakusahidia sana kawaandikie Chadema sera za kuombea kura 2020,sio cheap reason kama hii ishu ulokuja nayo....hii nchi kuishi kwa madili muache.Hatutaki madawa full stop na tunamtaka makonda full stop.
wakati naanza kusoma uzi huu. niliwaza kama wewe... marehem mtikila tutamkumbuka sana...Ninawaza kama wewe, ila sioni jukwaa huru kupata majibu ya maswali yote haya uliyouliza.
Marehemu Mtikila angekuwepo nadhani angeshafungua shauri mahakama imlazimishe Paul ahakikiki vyeti vyake kuleta utulivu nchini. Tafadhali ajitokeze msamaria mwema (wanasheria wetu) atusaidie kwenda mahakamani au sehemu inayostahili ili haki itendeke kwa mtuhumiwa na watuhumu.
ushaidi please! au umezwazwa?Makonda ni bashite original.....full stop
yamenikinai
Nyie ndo wale wa upepo tu utapita halafu mnafunika kombe. Typical Tanzanians.Ila tumeshaichoka hii hadithi, for real
Tunalo tatizo katika kushughulikia masuala kadhaa katika nchi yetu. Tume ya maadili kwa viongozi inawataka waorodheshe mali, madeni n.k na pia vyanzo vya mali waliyonayo. Sina uhakika kama kuna ufuatiliaji wa ukweli wa majibu yanayotolewa na viongozi wanaopaswa kuorodhesha mali zao. Uhakika nilio nao ni kwamba kama atatokea mtu asiyeridhika na majibu hayo, apeleke malalamishi yake na ushahidi kwenye hiyo Tume. Baraza la Mitihani nalo linataka lipelekewe maelezo na ushahidi ili liweze kuifuatilia taarifa kuhusu mtu kutumia vyeti visivyokuwa vyake yaani vya kugushi. Naona ingekuwa vyema kwa Taasisi hizi kufanya uchunguzi walau kidogo wapatapo tetesi kuhusiana na mambo haya ya udanganyifu ili kuonyesha kwamba wako makini katika kazi zao. Kinachojitokeza sasa watu wa chini ndio husumbuliwa sana mara tu tuhuma zikizagaa kuhusu mapungufu yao. Ni vyema kukawa na haki sawa kwa kila mwananchi katika masuala kama haya. Vinginevyo tutajenga taifa lenye tabaka katika kutoa haki kwa walionacho na wale wasiokuwa na chochote.Nami najibu hii namba tano. Sasa kama watu wametuma na hata wanaomjua na hawaoini likifanyiwa kazi si ndio wanaamua kuingia kwenye mitandao!?
Tukumbuke hapa suala la kutaja mali za watumishi wa umma sheria ilikuwa wazi lakini ikaweka ugumu kwa mtu mwenye nia njema kuona fomu husika ili aisaidie serikali kwa wale waliodanganya.
Badala ya watu kupoteza MB zao na wino kuandika haya yote ni kwa nini mhusika (bahati nzuri ni member hapa) asiweke vyeti hadharani mjadala ukaisha!? Kumbuka huyu ni mtumishi wa umma kwa hiyo kutaja belongings zake hadharani ni lazima. Kwani Mzee Mkapa, JK na wasaidizi wao mbona walitutajia hadi kuku wanaowamiliki ...ni kwa sababu walitaka wakalie ofisi za umma kwa amani.
1. Hapo hapo said:Labda nijaribu kukujibu kutokana na uelewa wangu hasa baada ya kufuatilia nyuzi nyingi kuhusu ndg Bashite
Swala hapa sio kuwa watu walikuwa wapi kabla
Kuna kamsemo kanasema "anything happens for a reason" baada ya bashite kutoa kauli zisizotekelezeka, approach anazotumia kutatua changamoto za mkoa, mambo anayoyafanya ambayo baadhi ya watu hawapendezwi nayo ndio ILIYOKUWA CHACHU NA SHAUKU YA KUMJUA MTU HUYU AMBAYE MUELEKEO WAKE UNA WALAKINI ANA BACKGROUND GANI, NA HAYO NDIO BAADHI YA YALIYOGUNDULIKA IKIWA NI PAMOJA NA KUJILIMBIKIZIA MALI KWA MUDA MFUPI AKIWA MADARAKANI, KUGHUSHI CHETI NA JINA, NA MENGINEYO MENGI AMBAYO NAAMINI MUDA UTAONGEA TUTAYAFAHAMU
Kwahyo tatizo sio yy kuleta ishu ya madawa, tatizo ni ule wa msemo wa too much is hamful kawa na too much statements zilizopelekea watu wamchimbe
Magu uamchoka kila siku uhakiki tuuuuuuuuuIla tumeshaichoka hii hadithi, for real
Mm sjaisoma yote ila nilipoona jina la makonda kutajwa tu nikajua ndo wale wale wapiga vuvuzera....hivi ata kama vyeti sio vyake na hana elimu hiyo mchango wake hauonekani?...tumekuwa na wasomi wangapi na hawajafanya lolote kwa taifa hili....tumewapeleka bunge la katiba badala ya kujadili rasimu wakatoka nje elimu yao wameitumia vipi?....Wewe kama unaona kalamu yako inakusahidia sana kawaandikie Chadema sera za kuombea kura 2020,sio cheap reason kama hii ishu ulokuja nayo....hii nchi kuishi kwa madili muache.Hatutaki madawa full stop na tunamtaka makonda full stop.
Mm sjaisoma yote ila nilipoona jina la makonda kutajwa tu nikajua ndo wale wale wapiga vuvuzera....hivi ata kama vyeti sio vyake na hana elimu hiyo mchango wake hauonekani?...tumekuwa na wasomi wangapi na hawajafanya lolote kwa taifa hili....tumewapeleka bunge la katiba badala ya kujadili rasimu wakatoka nje elimu yao wameitumia vipi?....Wewe kama unaona kalamu yako inakusahidia sana kawaandikie Chadema sera za kuombea kura 2020,sio cheap reason kama hii ishu ulokuja nayo....hii nchi kuishi kwa madili muache.Hatutaki madawa full stop na tunamtaka makonda full stop.
So wewe ni teja?Kama kuroga ni ishu na ww kamloge Magu atengue kauli yake amg'oe Makonda....Makonda ni lulu kwa vijana wa sasa hasa mateja....lazima tumuunge mkono hasa sisi wenye uchungu na nguvu kazi.
So wewe ni teja?
Jibu swali wewe ni teja ?Hacha kupayuka tu jamaa yangu....hii nchi inamambo mengi ya kuyadadavua,ishu ya makonda kwa sasa ni yaliyopita.....Tanzania bila madawa inawezekana...