Daby ni add plizUna a b c za hii kitu
Daby ni add plizUna a b c za hii kitu
Upo sahihi but pliz ni add mrDaby Mwanangu kuwa makini unapomuadd new member, bora lawama kuliko fedheha cuz huwezi kumjua britanicca ni yupi
Britanicca.anaogopeka kama njaa.Daby Mwanangu kuwa makini unapomuadd new member, bora lawama kuliko fedheha cuz huwezi kumjua britanicca ni yupi
Hahaha... Britanicca hana huruma, maisha jinsi yalivyo hivi alafu unakwenda kumpiga kapuku mwenzako mkwanja wote huoBritanicca.anaogopeka kama njaa.
Ni add mkuu check pmNa wewe umepigwa ama
Tuma namba pm ya wozap..ila kubritanicaiana huko hatutaki
Mkuu naomba na mm mniadd kwa group wazee
Daby ni add pliz
Ni add mkuu check pm
Mkuu namimi mniadd jameniTuma namba pm ya wozap..ila kubritanicaiana huko hatutaki
Hahaha..mkuu kuna group ila ni laKwa wenye interest ya nchi zisizo kuwa na complications nyingi precisely nchi za ukanda wa kusini mwa Africa kama vile Namibia,Botswana, Lesotho,SA,etc nivema kuwa na uwanja wa pamoja kama vile WhatsApp group pia kwa nchi hizi wengi wanaweza afford. Usiwaze Canada wakati hata hela ya flight ticket huna. Anza taratibu kisha utafikia huko juu.Kama kupoteza tayari miaka kadhaa imepotea so kwenda kuanza kujaribu nchi kama Botswana au Namibia siyo mbaya after all hata ukikwama ukiuza smartphone na vitu vichache nauli ya kurudi bongo tayari.
NB: Trust no one so usitume fedha popote ila jipange kuwa na kianzio cha maisha mapya na nauli.
My concern ni kuwa uwezo wa kifedha kwa watia nia wengi siyo mzuri. Tumeona hapo juu mdau akilalamika kiasi ambacho kapoteza namna alivyo itafuta hiyo hela.Kuipata Visa ya Norway siyo kirahisi ingawa inapatikana mtu anapaswa kuwa documents za kuwashawishi embassy ikiwemo fedha ya kutosha.Hahaha..mkuu kuna group ila ni la
Scandinavia..Canada..state...na pale kati ulaya....