Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,682
- 5,051
Maana yangu ni kuwa Kagame ni kijana mdogo sana kwa TZ hivyo hawezi leta ushawishi wowote wa hali hiyo coz nae ameshikiliwa maskio tuuMkuu umeni quote vibaya. Ninachosema ni kwamba tum block Kagame asije Magogoni kwani anaweza kumuambukiza JPM udikteta (au kwa lugha nyingine, wanaweza kuambukizana udikteta) ikawa hatari kwa raia wasiokuwa na hatia.