Yanga Wana namna pekee ya kulifanya jambo dogo kuwa kubwa
Mfano hili la supu lilionekana halina impact......lkn Yanga wamelikuza na kusababisha liwe gumzo + kujenga udugu
By the way Jana wamefanikiwa kuwasajili maelfu ya mashabiki kwenye mfumo wa kidigitali
Kwa nini huwa mnaitenga Ihefu ktk uchambuzi wenu wa mchele?Kazi yetu sisi wachambuzi ni kuusemea mpira wa TZ.....Kwa timu zote mkuu
Huo mwendo ni wa kitoto mno na mkiendelea na uchambuzi wa kihivyo mtaanza kutambaa badala ya kutembea maana hamkui kabisa.Tunaenda na upepo.....( Kile mashabiki wanachpkipenda)
Sana lazima team ziendane na matarajio ya mashabiki na hamasa wanayotoa amini nakwambia wao ndio chanzo Cha Caf kuangalia Tanzania kwa jicho la tofautiAhaa kumbe Kuna haja ya kuboresha team + management Ili ziendane na moto wa mashabiki
Wacha uongo siyo tuzo ya Simba!Salaam Wana jf
Kama mchambuzi mahiri hapa mjini JF toka jana nilikuwa naumiza kichwa kutokana na tuzo tuliyopata Watanzania ya Ushabiki Bora wa michuano ya Super League lakini nimefanikiwa kupata hizi tentative suggestions kama ifuatavyo:
a) Simba tulitumika kama daraja (washereheshaji)
Since hata kwenye sherehe za harusi lazima wakodi matarumbeta, kwa hiyo katika bonanza hili la CAF, Simba walishiriki kama wapiga matarumbeta tu katika harusi.
b) Mashabiki wa Simba wapo makini, well motivated kuliko wachezaji na viongozi wa pale ukoloni.
C) Tumeonewa huruma (tumepewa tuzo kama kifuta machozi)
d) A, B na C yote sawa!
NB: Kwako unadhani Tuzo ya Mashabiki Bora tuliyopata wanachama Simba inamaana gani?
View attachment 2812277
Al Ahyl mashabiki wana vurugu that's why hawapewi ticket zote wakati wydad mashabiki pia wana vurugu waliwapiga mamelod na chupa za maji huku waliwasha moto hapo washakosa kigezo cha kuwa bora kwakuwa kulikuwa na viashiria vya vuruguHivi kweli kuna mtu anaamini mashabiki wa simba ni bora kuzidi mashabiki wa Raja, Wydad, Ahly? seriously?
Sahihi kiongoziAl Ahyl mashabiki wana vurugu that's why hawapewi ticket zote wakati wydad mashabiki pia wana vurugu waliwapiga mamelod na chupa za maji huku waliwasha moto hapo washakosa kigezo cha kuwa bora kwakuwa kulikuwa na viashiria vya vurugu
Shida wabongo wengi wanajua tuzo ya mashabiki bora ni kuimba tu wakati wanasahu pamoja na kutoleta vurugu kwa hakika Simba inastahili kwakuwa walikuwa na ustarabu wa juu bila ya kujali matokeo
Kijana ...Au nitumie picha Yako .....ulivyokuwa unagombania supu pale jangwaniKila mashabiki wamepata tuzo yao wanalunyasi (nguvu moja) wamepata tuzo ya AFL huku wananchi (nyuma mwiko) wamepata tuzo ya supu supu na chapati za mama bonge
Na hili likifanyiwa kazi ....kama kutakuwa na usawa kati ya hivi 2 simba itakuwa ni giantHongera zenu Kwa kupata tuzo ya kijinga Sana tena ktk mechi moja tu
Hii inawakumbusha kwamba mnacho kikosi Bora cha kushangilia kuliko kikosi cha kushinda Mechi.
kaka kumbe weweKijana kumbe upo huku Kwa wakubwa