Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,784
24,215
Salaam Wana jf

Kama mchambuzi mahiri hapa mjini JF toka jana nilikuwa naumiza kichwa kutokana na tuzo tuliyopata Watanzania ya Ushabiki Bora wa michuano ya Super League lakini nimefanikiwa kupata hizi tentative suggestions kama ifuatavyo:

a) Simba tulitumika kama daraja (washereheshaji)

Since hata kwenye sherehe za harusi lazima wakodi matarumbeta, kwa hiyo katika bonanza hili la CAF, Simba walishiriki kama wapiga matarumbeta tu katika harusi.

b) Mashabiki wa Simba wapo makini, well motivated kuliko wachezaji na viongozi wa pale ukoloni.

C) Tumeonewa huruma (tumepewa tuzo kama kifuta machozi)

d) A, B na C yote sawa!

NB: Kwako unadhani Tuzo ya Mashabiki Bora tuliyopata wanachama Simba inamaana gani?

1699774943685.jpg
 
Ungejadili kwanza tuzo ya supu pale jangwani ilikuwa ni ya nyama ya ng'ombe fresh ama nyama ya ng'ombe kibudu ungefanya la maana.

Supu mlikunywa asubuhi hukujadili.

Simba kabeba tuzo jioni yake unataka kujadili 😁😁

Ikiwa huna kazi enda kazibue mitaro pale jangwani maji yapite utafanya la maana kuliko kujadili tuzo zisizo kuhusu.
 
Ungejadili kwanza tuzo ya supu pale jangwani ilikuwa ni ya nyama ya ng'ombe fresh ama nyama ya ng'ombe kibudu ungefanya la maana.

Supu mlikunywa asubuhi hukujadili.

Simba kabeba tuzo jioni yake unataka kujadili

Ikiwa huna kazi enda kazibue mitaro pale jangwani maji yapite utafanya la maana kuliko kujadili tuzo zisizo kuhusu.
Mkuu iyo ya nyama si ungeijadili wewe
 
Ungejadili kwanza tuzo ya supu pale jangwani ilikuwa ni ya nyama ya ng'ombe fresh ama nyama ya ng'ombe kibudu ungefanya la maana.

Supu mlikunywa asubuhi hukujadili.

Simba kabeba tuzo jioni yake unataka kujadili

Ikiwa huna kazi enda kazibue mitaro pale jangwani maji yapite utafanya la maana kuliko kujadili tuzo zisizo kuhusu.
Ok ngoja tuichambue kidogo supu ya jana

Supu ya jana imewatouch direct wananchi hivyo kuongeza sense of belonging Kwa Wananchi dhidi ya timu yao

Tuzo ya Simba ....itabaki Kwa viongozi tu .... that's y aliyeishika ni try again ....na si ww
 
Ungejadili kwanza tuzo ya supu pale jangwani ilikuwa ni ya nyama ya ng'ombe fresh ama nyama ya ng'ombe kibudu ungefanya la maana.

Supu mlikunywa asubuhi hukujadili.

Simba kabeba tuzo jioni yake unataka kujadili 😁😁

Ikiwa huna kazi enda kazibue mitaro pale jangwani maji yapite utafanya la maana kuliko kujadili tuzo zisizo kuhusu.
😂😂😂
 
Kimsingi hadi Sasa mafanikio ya club zote za Tanzania Yako kwa mashabiki na sio wachezaji
Kuanzia Simba kupiga full house ya Mkapa kwa Kila mechi tena huku wakishangilia kwa ustaraabu bila kujali wamepoteza au wameshinda hadi Yanga kwenda na kuiteka Kigali
Kocha wa Marumo alisema msimu uliopita amevutiwa na mashabiki wa Yanga kwani ni wengi wamejaa uwanja ila wanashangilia kistaraabu sio kama wale wa north afrika ambao huweka hostile ndani
HII TUZO NI HESHIMA KWA MASHABIKI WA SIMBA NA MPIRA WA TANZANIA japo mi Yanga ila nimeipokea positive
 
Salaam Wana jf

Kama mchambuzi mahiri hapa mjini JF toka jana nilikuwa naumiza kichwa kutokana na tuzo tuliyopata Watanzania ya Ushabiki Bora wa michuano ya Super League lakini nimefanikiwa kupata hizi tentative suggestions kama ifuatavyo:

a) Simba tulitumika kama daraja (washereheshaji)

Since hata kwenye sherehe za harusi lazima wakodi matarumbeta, kwa hiyo katika bonanza hili la CAF, Simba walishiriki kama wapiga matarumbeta tu katika harusi.

b) Mashabiki wa Simba wapo makini, well motivated kuliko wachezaji na viongozi wa pale ukoloni.

C) Tumeonewa huruma (tumepewa tuzo kama kifuta machozi)

d) A, B na C yote sawa!

NB: Kwako unadhani Tuzo ya Mashabiki Bora tuliyopata wanachama Simba inamaana gani?

View attachment 2812277
Aaahhaaa

Ina maana kubwa sana

Inatusahurisha kipigo cha mtani
 
Ok ngoja tuichambue kidogo supu ya jana

Supu ya jana imewatouch direct wananchi hivyo kuongeza sense of belonging Kwa Wananchi dhidi ya timu yao

Tuzo ya Simba ....itabaki Kwa viongozi tu .... that's y aliyeishika ni try again ....na si ww
Kwa nini unaficha ukweli kuhusu wananchi kuadhirika baada ya kunywa supu?

Kuna waliolazwa Amana hospital, kuna waliopotea njia za kurudi nyumba, kuna waliosombwa na mafuriko pale jangwani yote hayo ni sababu ya kibudu.

Kwa nini unaficha?
 
Ungejadili kwanza tuzo ya supu pale jangwani ilikuwa ni ya nyama ya ng'ombe fresh ama nyama ya ng'ombe kibudu ungefanya la maana.

Supu mlikunywa asubuhi hukujadili.

Simba kabeba tuzo jioni yake unataka kujadili

Ikiwa huna kazi enda kazibue mitaro pale jangwani maji yapite utafanya la maana kuliko kujadili tuzo zisizo kuhusu.
 
Hivi kweli kuna mtu anaamini mashabiki wa simba ni bora kuzidi mashabiki wa Raja, Wydad, Ahly? seriously?
 
Kimsingi hadi Sasa mafanikio ya club zote za Tanzania Yako kwa mashabiki na sio wachezaji
Kuanzia Simba kupiga full house ya Mkapa kwa Kila mechi tena huku wakishangilia kwa ustaraabu bila kujali wamepoteza au wameshinda hadi Yanga kwenda na kuiteka Kigali
Kocha wa Marumo alisema msimu uliopita amevutiwa na mashabiki wa Yanga kwani ni wengi wamejaa uwanja ila wanashangilia kistaraabu sio kama wale wa north afrika ambao huweka hostile ndani
HII TUZO NI HESHIMA KWA MASHABIKI WA SIMBA NA MPIRA WA TANZANIA japo mi Yanga ila nimeipokea positive
Ahaa kumbe Kuna haja ya kuboresha team + management Ili ziendane na moto wa mashabiki
 
Kwa nini unaficha ukweli kuhusu wananchi kuadhirika baada ya kunywa supu?

Kuna waliolazwa Amana hospital, kuna waliopotea njia za kurudi nyumba, kuna waliosombwa na mafuriko pale jangwani yote hayo ni sababu ya kibudu.

Kwa nini unaficha?
Yanga Wana namna pekee ya kulifanya jambo dogo kuwa kubwa

Mfano hili la supu lilionekana halina impact......lkn Yanga wamelikuza na kusababisha liwe gumzo + kujenga udugu

By the way Jana wamefanikiwa kuwasajili maelfu ya mashabiki kwenye mfumo wa kidigitali
 
Back
Top Bottom