Mizinga ya uswazi

Mizinga ya uswazi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,725
Reaction score
830,797
Dia nirushie buku hm hawajapika kitu
Nirushie jero nataka kuongea na mama
Ongezea nyingine ulizokutana nazo
 
Anakuja gheto na nguo(haijalishi ya ndani au ya nje) iliyochanika ili umwonee huruma na umnunulie nyingine.
 
Beby nilikuwa mjini wameniibia pochi sina hata nauli na sijala tangu asubuh, naomba nirushie 5000 tigo pesa mpenzi wangu!!
 
Et ATM imeshikwa nitumie 15000 nauli nyoo mtaisoma wakat unaenda mbona hukusema
 
Dia naomba nauli beib

Sent from my BlackBerry 9700using JamiiForums
 
Tafadhali naomba sweet nitumie nauli niko Tanga, kwa shangazi nimeitiwa kuna kazi mjini!
 
Dia nirushie buku hm hawajapika kitu
Nirushie jero nataka kuongea na mama
Ongezea nyingine ulizokutana nazo

akiwa honesty hivi namtumia hata na zaidi....
tatizo ni utakuta hajala af mzinga anaokupiga anaupa sababu za wewe kumwo next level...
 
Obama nirushie Dola hizo nataka kujenga Bandari Bagamoyo wahi kabla mchina hajaanza kuweka matofali kwenye kiwanja chako nirushie haraka.
 
baby nina mimba ntumie hela nikatoe
 
Back
Top Bottom