Unamuelekeza mtu ambaye amesema anafanya utafiti kwa miaka kuhusu mizimu?Apo uwez wapata wanakuja Kwa shida maalum na uwe na uhusiano nao
Footprint records za Binadamu waliowahi kuwepo. Wapo wataalamu wanaoweza kuzi-trace na kuzitumia kadiri ya mahitaji yao binafsi au kwa umma.Je, kuna mtu anaweza kuleta ushahidi kuwa Mizimu ipo?