Ingia website ya TRA utaona categories za import zote na kodi ya kuilipia itatofautiana bidhaa na bidhaaHabari nyote, naomba kufaham ni aina gani na shilingi ngapi inayotakiwa kulipiwa forodha / ushuru kwa mizigo inayotoka nje ya nchi.
Asanteni
Asante sana!Ingia website ya TRA utaona categories za import zote na kodi ya kuilipia itatofautiana bidhaa na bidhaa