Mivutano yaanza kuzuka ndani ya UKAWA

Ndugu, nadhani hata unachokiandika hukielewi achilia mbali mhariri na gazeti unalolitaja.

Rejea bandiko langu halafu niambie kati yangu mimi na wewe nani haelewi? Chanzo habari yako unasema ni JAMBALEO! Jambaleo ya akina Le Mutuz na wauza Sembe akina J.p..to haina credibility yoyote ndani ya Jamii yetu... Huwezi kujiandikia cheap propaganda hapa eti kuna ambao wanafaidika na fedha za nje bila ya kutuwekea data za kutosha hapa! Wewe hapo ulipo ukiwekewa TZS 10M wale jamaa wa Anti Money Laundering lazima wataifunga a/c yako kwa muda! Kikosi cha kuzuia fedha chafu hapa bongo wana njaa iliyopitiliza! ... Jipange upya ...
 
chanzo habari leo, naona siku hizi wanabadili propoganda tu kila siku, namuonea huruma sana mhariri wake, maana hafanyi kazi ipasavyo. na hao viongozi wa2 si warudi wao, kwani watakatwa miguu, propoganda nyepesi kama hizi haziwezi kutushika watu wenye akili timamu, labda labda wale wenye akili nusu za kichwani na zingine za tumboni.
 
HabariLeo, haya si ya kwenu, waachieni Tanzania Daima na Uhuru. Ninyi mnapaswa kujitanabaisha kama gazeti la umma lisilokuwa na mtazamo wa propoganda za rejareja.
 

Kumbe ni habari kutoka kwa Mwigulu Nchemba kupitia gazeti lao la HabariLeo...mie napita!
 
Hizi ni akili za kibavicha!.

Ndugu, kwani wewe kwa sasa umefanya nini?.

Kama hufahamu, hata kuandika tu comment ni kuchangia achilia mbali kugusia mada iliyoko ndani ya thread.

Wewe mpuuzi acha ujinga, onyesha maturity yako acha kusukumwa na tumbo
 
Hii habari iko chini sana kwa gazeti la serikali. Juzi tu limeleta habari kuwa gari la KUB limekamatwa Kenya likihusishwa na ugaidi. Ikabainika ni uwongo,hata polisi Kenya walikanusha,lakini uongozi wa gazeti haukuomba msamaha kwa wasomaji wake. Hili ni gazeti la UDAKU,sambamba na magazeti ya global publishers.
Kama wahariri wake ni Mwigulu,Nape,Wasira et al,tusitegemee habari tofauti.
 
Ni kweli wanainchi tumechoka kusikiliza jambo moja la katiba umefika muda tunataka katiba imalizike pesa za wavuja jasho zinatumika vibaya
 
Niwapongeze tu hao wapinzani waliogundua kuwa CHADEMA haina lengo jema lolote bali ni kuwatumia wapinzani wenzao ili kutimika matakwa yao ya kifedha kutoka ughaibuni.

UKAWA chaliiiii
 
kwani kama wanapata fedha nje kuna tatizo gani hapo?mbona tunadaiwa trillion 40 zote za nje .asiwadanganye mtu yeyote kila mtu anapata fedha nje.hao wanaopata ndani ni za walipa kodi wetu halafu wanazichezea.acheni propaganda jibuni maswala ya msingi yanawahusu wananchi fanyieni kazi mawazo ya wananchi yaliyopo ktk tume ya mabadidiliko .
 
Intarahamwe watahakikisha kila habari mbaya itatungwa dhidi ya UKAWA.

Hii inadhihirisha UKAWA is a pain in Intaharamwe's ass
 
Mipasho hii SI dalili nzuri chamani kwetu. Ukawa umetukalia vibaya kiasi hiki?
 

Mimi ni kigogo wa UKAWA napenda kutumia fursa hii kusema kwamba haya maneno hapo juu kuhusu ukawa hayana mashiko na ukweli wowote na kwa ufupi tu ni kwamba sasa tumezidi kupata nguvu ya pamoja na tumeshikamana kweli kweli.

Spidi hii ni mpaka utakapomalizika uchaguzi 2015 kuhakikisha ccm imengoka madarakani.

Kwa sasa ni shida kutengana tumeona ni njia pekee kupambana na ma intarahamwe. Tunaomba dua zenu, tumeanza zanzibar sasa tunaendelea na mikoa ya bara kuueleza ukweli umma wa watanzania. Ahsante
 
Huu Muungano wa UKAWA umekaa kitapeli tapeli, sio rahisi ukaweza kudumu.
 
Hivi watu wanapewa fedha ili waache kazi waliyopewa na wananchi ya kutunga Katiba wewe unaona ni sawa?
kotoka haina maana wamekimbia ni njia mbadala wa kushinikiza jambo maana wangebaki wasingesikika na kueleweka kama sasa....afu for that matter wamechelewa yani walitakiwa waoondeke tangu wengi walivyopitisha kura ya wazi na siri kwapamoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…