Wakuu Naomba kupata uelewa, kwanini Majina ya Hotel kubwa kubwa na nzuri karbia zote Afrika yanafanana, mfano Marriot, Kempisk Hilton, Ramada nk nk the same same name utakuta Tanzania, Kenya, Mali, SA nk tufungueni macho. Lkn ntajuaje kuwa hii ni Hotel ya Nyota 5 au 3 pasipo kuuliza yaani kwa kuangalia sifa zake tu.
Ahsante