Daktari Wa Mistari
Member
- May 12, 2014
- 74
- 86
- Thread starter
- #21
Gran Melia Arusha
haha, hizi nazo onyesha hapa sio za bei kubwa saaana(laki moja tu), which is ticket ya mabasi ya mikoani.. Ni kwamba tu muundo wake umejengewa vizuri na watu wanojua wanachofanyaWalahi wabilahi kuna watu wanaishi me nasindikiza (nakazia mimi maana sjui hali za wenzangu humu ndani) sidhani kama nitakaa niingie hizo place until judgement day.
Distributed Denial-of-Service
Me navoona hayo majengo nadhani bei yake ni balaaa. Ntajitosa siku moja na kale kabintihaha, hizi nazo onyesha hapa sio za bei kubwa saaana(laki moja tu), which is ticket ya mabasi ya mikoani.. Ni kwamba tu muundo wake umejengewa vizuri na watu wanojua wanachofanya