Miundo ya hoteli Duniani

Miundo ya hoteli Duniani

Sawa
Hilton Yaounde Kamerun



774463_l.jpg


11477807_0x0.jpg


220c0g0000007ze34873F_R_1136_750_R5_D.jpg


YAOHITW_gallery_sanagalounge.jpg



9431401_58051.jpg


fa9d8723_z.jpg

 
Hotel ya gharama niliyolala ni 250,000/= per day, kwakweli niona utulivu wa mwili ambao huku mtaani huupati. Tutafute pesa jamani, angalau mara 1 kwa mwaka. Unakuta mtu anachangia harusi 150,000/=, lakini yeye kutoka na familia yake kwenda sehemu nzuri kuinjoy na kuteketeza kiasi hicho cha pesa anaona ni matumizi mabaya ya pesa.
 
Wakuu Naomba kupata uelewa, kwanini Majina ya Hotel kubwa kubwa na nzuri karbia zote Afrika yanafanana, mfano Marriot, Kempisk Hilton, Ramada nk nk the same same name utakuta Tanzania, Kenya, Mali, SA nk tufungueni macho. Lkn ntajuaje kuwa hii ni Hotel ya Nyota 5 au 3 pasipo kuuliza yaani kwa kuangalia sifa zake tu.
Ahsante

Hi mteule, Kwa ile research niliyofanya kidogo huwa mara nyingi mmiliki wa jengo anatafutaga haya makampuni makubwa kwa experience na sifa zao duniani. Wanaingia katika makubaliano ya kuendesha na kusimamia standards, lakini mara chache sana baadae kununua jengo lenyewe. Mainly ni kwajili ya umaarufu kwamba wako topclass
 
Back
Top Bottom