HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,993
- 102,833
Mbona fimbo zote zafanana?
Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?
Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?
Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?
Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?
Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?
Je, serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?
Mbona wanavutwa na maaskari wadondoke chini?
Mbona watoa shuhuda sura zinakuwa blurred?
Mbona wanaodondoka wanawekewa MIC mdomoni wakiwa wanalia?
Kwanini wanaolia wanaletwa mbele kwa lazima na kisha wakiwekwa chini wanaacha lia?
Kwanini wengine ambao hawalii wakienda mbele wanarudishwa?
Je, serikali imeamua bariki uhuni huu au inanufaika?