Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Habari zenu wadau.
Nimekuja hapa tupeane ushauri na experience za kweli na sio mawazo ya ramli juu ya hii gari.
Mimi binafsi nimeipenda na natamani kufanya mchakato wa kuiagiza nipate yangu. Hii gari nimevutiwa nayo baada ya kuendesha ya mtu ambaye sina mazoea nae sana so sikuweza mdadisi hadi kipindi hiki nilipo kuwa na interest nayo hii gari. Ina nguvu na ni ndogo kwa size but ni kubwa kwa gari ndogo.
So naomba tujaziane ujuzi.
Nimekuja hapa tupeane ushauri na experience za kweli na sio mawazo ya ramli juu ya hii gari.
Mimi binafsi nimeipenda na natamani kufanya mchakato wa kuiagiza nipate yangu. Hii gari nimevutiwa nayo baada ya kuendesha ya mtu ambaye sina mazoea nae sana so sikuweza mdadisi hadi kipindi hiki nilipo kuwa na interest nayo hii gari. Ina nguvu na ni ndogo kwa size but ni kubwa kwa gari ndogo.
So naomba tujaziane ujuzi.