Mitoto hii bwana.

Hahahahahahaaaaaa ticha angewaacha wachapane tu labda wangefunguka akili zao.
 
Ndo maana tunashauriwa kuchagua mke mwenye akili timamu,usije kuchanganyiwa madesa.
 
Ndio unakuta wote wanao,
Mungu epushia mbali maana itakuwa ni janga la kifamilia.
 
Hapo mtoto mmoja ni nafuu,mwingine ni afadhali....yaani wote bila bila duh!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…