ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,801
- 60,648
Sisi tuliambiwa unaruhusiwa kuangalia popote na hata kama ukitaka kutoka nje kutafuta majibu nenda. Nilipata 12%Kuna Prof kipindi hicho kwenye kati ya pathology , tuliambiwa tukopi popote , nakumbuka nilipata 20%
View attachment 3580793
Hahahaha kozi gan hiyoSisi tuliambiwa unaruhusiwa kuangalia popote na hata kama ukitaka kutoka nje kutafuta majibu nenda. Nilipata 12%
Computer science.Hahahaha kozi gan hiyo
Hiyo ni kashesheComputer science.
Kuna walimu huwa wanaona tu raha kufelisha. Wanakomoa
Kuna Prof kipindi hicho kwenye kati ya pathology , tuliambiwa tukopi popote , nakumbuka nilipata 20%
View attachment 3580793
Kipindi hiko AI hamna ila kwa sasa sijui kama kuna profess anayeweza kujaribu kitu kama hichoSisi tuliambiwa unaruhusiwa kuangalia popote na hata kama ukitaka kutoka nje kutafuta majibu nenda. Nilipata 12%
Yes ilikuwa haipoπ.Kipindi hiko AI hamna ila kwa sasa sijui kama kuna profess anayeweza kujaribu kitu kama hicho
Kabisa , now madogo wanatafuniwa tuKipindi hiko AI hamna ila kwa sasa sijui kama kuna profess anayeweza kujaribu kitu kama hicho
Chai.π Mitihani Migumu Zaidi Duniani
1. Gaokao huko china
π Kwa nini ni mgumu sana
- Mamilioni ya wanafunzi hushiriki ili kujipatia nafasi ya kujiunga na vyuo bora
- Mtihani mmoja unaweza kuamua maisha yako yote
- Shinikizo kubwa kutoka kwa familia na jamii unaambiwa siku hio inakuwa ni kama siku ya kitaifa hata baadhi ya barabara zinafungwa ili kupunguza kelele
2. IIT_JEE Advanced huko india
Kwa nini ni mgumu
- kwanza competition yake ni kubwa mno
- Maswali magumu sana ya hisabati na fizikia yaani ni mwendo wa ku solve tu hakuna maelezo
3. UPCS civil service examination INDIA
7
π Kwa nini ni mgumu
- Tuseme huu mtihani ndo kama yetu hii ya sekratirieti ya ajira kwanza kwao unakuwa na masomo mengi (historia, siasa, uchumi n.k.) na pia idadi ya watu inakuwa kubwa
- Hatua nyingi (mtihani wa maandishi + usaili)
4. Putnam competition Marekani
huu sasa ni kiboko sana
Kwa nini ni mgumu
- Maswali ya hesabu ya kiwango cha juu sana
- Hata wanafunzi bora hupata changamoto kufaulu huu mtihani
5. UCMLE marekani
π Kwa nini ni mgumu
mambo ya medical
- Inahitaji miaka mingi ya kusoma na ukariri madude haswa
Hapana .Computer science.
Kuna walimu huwa wanaona tu raha kufelisha. Wanakomoa
Ni kweli mkuu. Na hakuna kitu utanifanya.Hapana .
Umesoma usichoweza .
Yani umelazimisha kitu upate sifa ukaangukia pua.
Unesoma pharmacognosy mkuu ?.Hili dude la kibabe sanaKuna Prof kipindi hicho kwenye kati ya pathology , tuliambiwa tukopi popote , nakumbuka nilipata 20%
View attachment 3580793
Hapana bwashee mimi ni midwife, sema bado kidogo tu nakua daktar kamili.Unesoma Pharmacology mkuu ?.Hili dude la kibabe sana
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ni kweli mkuu. Na hakuna kitu utanifanya.
ChaiHapana bwashee mimi ni midwife, sema bado kidogo tu nakua daktar kamili.