Mbuzi wanakula jamii nyingi za majani, ikiwemo milonge. Mlonge, mwembe,mchongoma,mlingoti mwekundu,mianzi, inaliwa sana na Mbuzi. Nilijaribu, nikapata hasara taslimu, walikula miche ya embe za kisasa kama hawanijui vile, mlonge wanabandua hadi ngozi ya tawi/shina.