Mitego ya mtoto wa kitajiri

Asante sana mkuu, nimekuelewa sana kwakweli.

 

Wazazi wa kushua???? Wazazi wengine wanapenda kujitakia matatizo au kukutia matatizoni bure,akili timamu huwezi mruhusu binti anaenda tuition usiku.
Nimewahi shuhudia case kama hii,kuna familia ni jirani yetu kwa mjomba wakamuwekea binti yao utaratibu kama huo ila mwalimu akawa anakuja kumfundishia binti wa kishua kwa nyumba ikatokea naye akaingia kichwa*2,mwishowe imekuja kuwa TUISHINI,maana matokeo ya speacial care ikazaa div 0,reset *2 hakuna kitu coz binti alishavurugwa akavurugika.

Sasa na utaratibu ukawa wazazi wakiwa kwenye shughuli zao mwalimu ndio baba mwenye nyumba.Baada ya kufeli binti kakaa nyumbani hataki shule ,then mwalimu aliendelea (udsm) 1st degree & masters mpaka kamaliza,baadae akapata msomi mwenzie .
Habari zikamfikia binti wa kishua na kwa vile alishakolea akataka kusaga chupa kunywa ili afe ,wazazi wakaingilia mwalimu akawa hana ujanja,kwa shin go upande akajitambulisha rasmi,ikabidi pia asitishe mahusiano na msomi ,

Baada ya mud a mwalimu kapata kazi,binti akabaki na msimamo usiponioa najiua,huwezi amini mwalimu aliolewa(sio kwamba alioa) sababu gharama za harusi na sendoff zilitoka ukeni,na wazazi upande wa uumeni hawakutia mguu (walisusa)

Mpaka kesho kijana anaoneka kama kachanganyikiwa.Mleta mada kazi kwako,utakuja kubebeshwa usiyoyaweza
 
!
!
jiulize maswali haya hapa na ukipata jibu utalitumia kumaliza utata wako.

1. Je sababu unayo ya kukiduu?
2. Je uwezo wa kukiduu unao?
3. Je nia unayo? nia ya kukiduu?
ukipata NDIYO angalau mbili, we kifanye tu na kama ni chini ya mbili temana nacho bab.
 
Ebwana eeh Duh, iki ndo kizazi cha nyoka, ila waambie wazazi wake wamuadilishe mwanao!
 
Ukiona vdent vinakujaa huenda una nyota ya jela

Kama wazaz wake mnaheshimiana ni bora ukaitunza heshima yako,kaa chonjo ila ningefaham kama umeoa au laa ila mwambie asome bana katanogewa kasahau kitabu
 
Kaka napata picha utakavyo pendeza nayale mavazi ya njano kwakipindi choote chamaishayako hapa duniani tena ukiwa mke wa mtu ,angalia future yako br huyo msure sio boya kama unavyozani Shauriyako ,ila ukishakapakua leta mrejesho hasa ukikamimba nikuelekeze kwangu uje sawa mwalimu?
 
wahaya ha ha ha ha ha ha
ndio michezo yao hao pita mwananyamala kimboka
muulize hata Daud kipara
Bwana
MO11

Naona mwananyamala imekukaa sana kwenye ubongo,
kila kona mwananyamala na Daud kipara.
 
Last edited by a moderator:
panda gari ya g/mboto shuka ukonga magereza angalia wale jamaa wanavyohaso then jiulize uko tayari kuhimili zile shida? achana na huyo mtoto
 
Jaribu kufikiria matokeo ya unachotaka kukifanya kabla ya kufanya. Je, mzazi wake akijua itakuwaje?
 


hebu npe # zake kwanza nikafokeee hyo tabia
 
piga mara mbili2 uache

ishantokeaga hiyo kwa mtoto wa Prof
Binti mwnyw ndo alianza kwa kunihug na kunila lita gafla akiwa ananicndikiza nkitoka mfundishia kwao

itaendelea,,,
 
piga mara mbili2 uache

ishantokeaga hiyo kwa mtoto wa Prof
Binti mwnyw ndo alianza kwa kunihug na kunila lita gafla akiwa ananicndikiza nkitoka mfundishia kwao

itaendelea,,,

kweli men are so weak,ushasema mtoto then unashindwa kumwambia kitu anachofanya si kizuri what goes around comes around na ndivyo wanao watakavyokuja kufanyiwa
 
utafungwa muda c mrefu........chagua jela kati ya hizi zifuatazo; isanga dodoma,maweni tanga,keko dsm,butimba mwz au shimo la tewa hukoo mambasa!
 
Kazi ya ualimu ni ngumu sana kwakweli.

piga mara mbili2 uache

ishantokeaga hiyo kwa mtoto wa Prof
Binti mwnyw ndo alianza kwa kunihug na kunila lita gafla akiwa ananicndikiza nkitoka mfundishia kwao

itaendelea,,,
 
kweli men are so weak,ushasema mtoto then unashindwa kumwambia kitu anachofanya si kizuri what goes around comes around na ndivyo wanao watakavyokuja kufanyiwa




Muwe na malezi mazuri ss co kuachiaachia watoto wenu ovyo zen mnazuia tatizo kwa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…