Mitandao ya simu na aina za watumiaji wake nchini Tanzania.

Mitandao ya simu na aina za watumiaji wake nchini Tanzania.

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,719
Ufuatao ni utafiti wangu kuhusu aina za watumiaji wa mitandao ya simu

TIGO: Tigo ni mtandao unaotumiwa sana na watu wavivu wa kufikiri,vilaza,wanaopenda vitu vya dezo, urahisi urahisi wa maisha kama wanafunzi,wasichana ambao hawana uwezo wa kuweka vocha zaidi ya kubip na kuomba wapigiwe,watu wanaopenda kiwango/ujazo sana(quantity) kuliko ubora (quality),naweza kusema tigo ni mtandao wa watu loosers. Ni kweli kua mawasiliano ya tigo kwenda tigo ni rahisi sana ila huduma zao ni mbovu,mtandao mbovu sana.

Huwezi kukuta mtu (au kampuni) anaejitambua anatumia laini ya tigo maana mtandao wake sio tegemewa, ni loosers tu ndio wanatumia tigo maana hawana cha kupoteza hata mtandao usipokuwepo wiki nzima mfano wanafunzi ila huwezi kua mfanya biashara unaehitaji kuwasiliana wa wateja muda wote ukatumia laini ya tigo. Ni mtandao uanotumiwa na watu wanaopenda ujanja ujanja na utapeli. ndio maaana unatumiwa sana na watu wa dar maana wengi wanaishi kiujanja janja.

AIRTEL: Huu ni mtandao unaotumiwa na watu wanaojitambua kidogo bila kujali kipato chao, una huduma nzuri kidogo ingawa wana matatizo ya upatikanaji wa mtandao baadhi ya maeneo,unaweza kua hewani na mtu akakupigia akaambiwa hupatikani ingawa baadae wanakutumia sms kukujulisha kwamba ulitafutwa na namba flani,

Tatizo lao kubwa ni kwamba ukipata tatizo na ukawapigia huduma kwa wateja itaita hata masaa 3 unaambiwa tu kwamba wako bize. Nimtandao unaozidi kuboresha huduma zake kwa kasi.

VODACOM:Huu ni mtandao bora kabisa na unatumiwa na watu wanaojitambua na kuelewa wanachokifanya, ni mtandao ghali kidogo ila una uhakika wa huduma zake, ni mtandao usio na ubabaishaji wowote. Watu wanaopenda ubora na uhakika wa huduma bila kujali gharama ndio wanatumia vodacom. vodacom ni bwana la mitandao ya simu Tanzania. Watu wanaotumia vodacom sio watu wanapenda kulalamika lalamika sana,ninwatu wanaopiga kuliko kupigiwa na kuomba waongezewe hela kama watu wa tigo.

Ni mtazamo wangu tu.
 
Unafaa kuwa PR!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Ufuatao ni utafiti wangu kuhusu aina za watumiaji wa mitandao ya simu

TIGO: Tigo ni mtandao unaotumiwa sana na watu wavivu wa kufikiri,vilaza,wanaopenda vitu vya dezo, urahisi urahisi wa maisha kama wanafunzi,wasichana ambao hawana uwezo wa kuweka vocha zaidi ya kubip na kuomba wapigiwe,watu wanaopenda kiwango/ujazo sana(quantity) kuliko ubora (quality),naweza kusema tigo ni mtandao wa watu loosers. Ni kweli kua mawasiliano ya tigo kwenda tigo ni rahisi sana ila huduma zao ni mbovu,mtandao mbovu sana.

Huwezi kukuta mtu (au kampuni) anaejitambua anatumia laini ya tigo maana mtandao wake sio tegemewa, ni loosers tu ndio wanatumia tigo maana hawana cha kupoteza hata mtandao usipokuwepo wiki nzima mfano wanafunzi ila huwezi kua mfanya biashara unaehitaji kuwasiliana wa wateja muda wote ukatumia laini ya tigo. Ni mtandao uanotumiwa na watu wanaopenda ujanja ujanja na utapeli. ndio maaana unatumiwa sana na watu wa dar maana wengi wanaishi kiujanja janja.

AIRTEL: Huu ni mtandao unaotumiwa na watu wanaojitambua kidogo bila kujali kipato chao, una huduma nzuri kidogo ingawa wana matatizo ya upatikanaji wa mtandao baadhi ya maeneo,unaweza kua hewani na mtu akakupigia akaambiwa hupatikani ingawa baadae wanakutumia sms kukujulisha kwamba ulitafutwa na namba flani,

Tatizo lao kubwa ni kwamba ukipata tatizo na ukawapigia huduma kwa wateja itaita hata masaa 3 unaambiwa tu kwamba wako bize. Nimtandao unaozidi kuboresha huduma zake kwa kasi.

VODACOM:Huu ni mtandao bora kabisa na unatumiwa na watu wanaojitambua na kuelewa wanachokifanya, ni mtandao ghali kidogo ila una uhakika wa huduma zake, ni mtandao usio na ubabaishaji wowote. Watu wanaopenda ubora na uhakika wa huduma bila kujali gharama ndio wanatumia vodacom. vodacom ni bwana la mitandao ya simu Tanzania. Watu wanaotumia vodacom sio watu wanapenda kulalamika lalamika sana,ninwatu wanaopiga kuliko kupigiwa na kuomba waongezewe hela kama watu wa tigo.

Ni mtazamo wangu tu.
Hakika ww ni marketing officer wa Vodacom>
 
Nahisi ana minyoo ya kichwa anatakiwa kuwahi matibabu
 
Nahisi umevulugwa, na akaamua kumalizia vurugu zako huku jf, huo mtandao bora ndo mwisho kwa wote,

Kunauwezekana umetumwa baada ya malalamiko ya mtandao wenu kuwa wa hovyooo (vodacom)
Ndo maana umekuja kubandika hii kitu, kajipange.

Ukija uje na nguo maana kwa sasa hujavaa pengine umesahau, na madhara ya kusahau yansababishwa na pu..ny.et.ooo,
 
mwoongoooo!! tunaita nini Vilee....(AOV)
advertising oficer OF vodacom
 
Wakishalivuta na wao wanajiona watafiti wa mambo mbalimbali.
 
Hakuna mtandao uliokamilika Tz.!!
Mimi nina laini tatu zote na ninatumia kwa matumizi tofauti.!

1. Airtel wako vizur kwenye Internet, wana vifurushi vya OMG- GB 1.2 kwa 600 tu
Na internet iko fasta kudownload movie hata kuangalia mpira online

2. Voda wako vizur kwenye kupiga na sms, najiunga na cheka Bombastic ya wiki ya 3499 wanakupa dakika 60 na sms kibao
Wana mtandao mzuri sana kwenye kupiga, sauti inasikika vizur kabisa

3. Tigo wako vizur kwenye masuala ya Tigo Pesa, haijawahi kukata mawasiliano, kuna kipindi Mpesa ilizingua siku nzima


Kwa hiyo kila mtandao ni mzuri kwenye eneo lake na mimi natumia hii mitandao kutokana na uzuri wa hayo maeneo basiiii..no more no less
 
Ufuatao ni utafiti wangu kuhusu aina za watumiaji wa mitandao ya simu

TIGO: Tigo ni mtandao unaotumiwa sana na watu wavivu wa kufikiri,vilaza,wanaopenda vitu vya dezo, urahisi urahisi wa maisha kama wanafunzi,wasichana ambao hawana uwezo wa kuweka vocha zaidi ya kubip na kuomba wapigiwe,watu wanaopenda kiwango/ujazo sana(quantity) kuliko ubora (quality),naweza kusema tigo ni mtandao wa watu loosers. Ni kweli kua mawasiliano ya tigo kwenda tigo ni rahisi sana ila huduma zao ni mbovu,mtandao mbovu sana.

Huwezi kukuta mtu (au kampuni) anaejitambua anatumia laini ya tigo maana mtandao wake sio tegemewa, ni loosers tu ndio wanatumia tigo maana hawana cha kupoteza hata mtandao usipokuwepo wiki nzima mfano wanafunzi ila huwezi kua mfanya biashara unaehitaji kuwasiliana wa wateja muda wote ukatumia laini ya tigo. Ni mtandao uanotumiwa na watu wanaopenda ujanja ujanja na utapeli. ndio maaana unatumiwa sana na watu wa dar maana wengi wanaishi kiujanja janja.

AIRTEL: Huu ni mtandao unaotumiwa na watu wanaojitambua kidogo bila kujali kipato chao, una huduma nzuri kidogo ingawa wana matatizo ya upatikanaji wa mtandao baadhi ya maeneo,unaweza kua hewani na mtu akakupigia akaambiwa hupatikani ingawa baadae wanakutumia sms kukujulisha kwamba ulitafutwa na namba flani,

Tatizo lao kubwa ni kwamba ukipata tatizo na ukawapigia huduma kwa wateja itaita hata masaa 3 unaambiwa tu kwamba wako bize. Nimtandao unaozidi kuboresha huduma zake kwa kasi.

VODACOM:Huu ni mtandao bora kabisa na unatumiwa na watu wanaojitambua na kuelewa wanachokifanya, ni mtandao ghali kidogo ila una uhakika wa huduma zake, ni mtandao usio na ubabaishaji wowote. Watu wanaopenda ubora na uhakika wa huduma bila kujali gharama ndio wanatumia vodacom. vodacom ni bwana la mitandao ya simu Tanzania. Watu wanaotumia vodacom sio watu wanapenda kulalamika lalamika sana,ninwatu wanaopiga kuliko kupigiwa na kuomba waongezewe hela kama watu wa tigo.

Ni mtazamo wangu tu.

Ndo hasara ya kunywa viroba na konyagi asubuh....
 
Back
Top Bottom