Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
26,802
Reaction score
38,847
Vodacom pamoja na Tigo Leo wameshangaza Watanzania, hii ni baada ya kupunguza muda wa maongezi pamoja na MB. Bado hawajaweka bayana nini kinachoendelea chini ya kapeti tumesubiri hata kutumiwa ujumbe ila hakuna kitu.
==================




 

Attachments

  • Makamba.png
    25.1 KB · Views: 17,899
majambawazi hao halafu january makamba anautaka urais wakati kashindwa kudhibiti ushenzi huo wa mitandao nchini
 


Mnan'ang'ania vodacom wanini wakati airtel wana super internet speed na viwango nafuu Sana vya data?

Mfano ukinunua vocha ya 500 yakujiunga moja kwa moja unapata 15 minutes kwenda mitandao yote SMS 300 na 125 Mb.....


Cha buku unapata 30 minutes to all networks 1000sms na. 300 mb

kuna vifurushi unajiunga kwa kupiga *149*81# ni very cheap mnahangaika na hao makabaila wanini?

Nimehamia airtel siku nyingi nainjoi maisha achana na wahuni hao.....
 
Kama n hivyo ngoja nkanunue airtel tu hawa watu hawana huruma na sisi kabsaaaaaaaaaa
 
AIRTEL BABA LAO,cha wiki sh 2000 utatumia mpaka uchoke
 
Mnalalamika Nini kwani mmefungwa Vichwa ,si kuna mitandao mingi tu yrnyr huduma mnazozitaka ni nn kinawanyima kuhama .

1. Tigo

2. Airtell

3. Zantel

4. Smart .

mingi tuu ..hakuna haja ya kuita watu wezi ,hayo ni mazungumzo na makubalianonya kampuni
 
Ww maamuzi yako unataka yawe maamuzi ya watu wanaomiliki kampuni ,acheni kufanya harakati mpaka kwnye makampu ya wetu ,kama walichokifanya ninkibaya basi ndio kasoro yao na ndicho kinawapa makampuninmengine fursa ya Kufanya vizuri .
 
Ni majanga..mleta mada tunashukuru sana kwa kututarifu. cheka time ya wiki iliyokua ni dak 105 sasa hvi niv dak 85.
 

Mpea umeongea points nna miezi sita nimehamia airtel na sijutii yani wako vizuri mno Voda ni kwa m pesa tu na kwa kua airtel kwenye money transaction wanazingua ila natafuta simu niweke tigo niwahame voda siwezi kuitupa maana ndo inatambulika ila VIFURUSHI VYA VODA NI MAJANGAA.
 

hamia tigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…