Mitandao ya simu, hawa watu wanatoa wapi namba zetu?

Mitandao ya simu, hawa watu wanatoa wapi namba zetu?

Mimi naona bora ya hizi Meseji kuliko simu inaita ukipokea unasikia " kwa mahitaji ya xxx tuone sisi tupo kinondoni mtaa wa matakataka nyumba hii" lazima nitatukana tu napatwa na hasira ya ajabu,na ukiipiga tena unaambiwa unknown number yangu wameipata wapi ya kwao unknown, hii nayo utasema mtandao wa simu hauitambui?
 
Toka mwaka jana wananitumia hayo matext no tofauti,mm huwa siwajibu nikishaiona nafuta na kuendelea na mambo yangu,masuala ya uganga mm yalinipita kushoto hata kuyajua siyahtaji kabisa
 
Back
Top Bottom