Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Utasikiliza kipindi cha burudani katika vijiradio vyetu hapa nchini na mtangajazi baadae anajifaharisha kwa kusema nitumie ujumbe kwenye mitandao ya jamii kama fb na tweeter. Sasa hapa napata taabu kidogo kuelewa huu mtandao wa jamiiforums hawaujui? Au wanaogopa kusema kuwa wamo.