Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 15,880
- 36,244
Mpaka sasa ni rasmi ukiwa Tanzania huwez ku access mitandao ifuatayo.
1. Jamii forums
2. X(Zamani Twitter)
3. Telegram
4. Clubhouse
5. Site zote za mambo yetu yale!
Sasa ninachojiuliza hawa jamaa zetu wanafunga hii mitandao kwa faida ya nani? Hawa tukiendelea ipo siku watafungia mpaka fb, insta na WhatsApp!
Je kinachoendelea ni uoga tu ama kukosa akili ya kuongoza watu?
1. Jamii forums
2. X(Zamani Twitter)
3. Telegram
4. Clubhouse
5. Site zote za mambo yetu yale!
Sasa ninachojiuliza hawa jamaa zetu wanafunga hii mitandao kwa faida ya nani? Hawa tukiendelea ipo siku watafungia mpaka fb, insta na WhatsApp!
Je kinachoendelea ni uoga tu ama kukosa akili ya kuongoza watu?
