Ata ww mwenyewe si unajionea vyenye huna uwezo wa kuwazaKama jamii forum imefungwa hii post umepost kupitia mtandao gani?
Si tumeingilia dirishani? Au na wewe ni wale?Kama jamii forum imefungwa hii post umepost kupitia mtandao gani?
Ni ukumbi wa mijadala mbalimbali , kwahiyo kuna rooms kule za mijadala ya kisiasa hasa kwa diaspora wa Tanzania ambao siku zote CCM inawaona ni tishio, kule watu wanashusha nondo za kutosha.Clubhouse inahusika na nini
Hao walifunga internet nchi nzima ili waibe kura, tunaongozwa na kundi la wajinga watupuMpaka sasa ni rasmi ukiwa Tanzania huwez ku access mitandao ifuatayo.
1. Jamii forums
2. X(Zamani Twitter)
3. Telegram
4. Clubhouse
5. Site zote za mambo yetu yale!
Sasa ninachojiuliza hawa jamaa zetu wanafunga hii mitandao kwa faida ya nani? Hawa tukiendelea ipo siku watafungia mpaka fb, insta na WhatsApp!
Je kinachoendelea ni uoga tu ama kukosa akili ya kuongoza watu?
Eng pita yule mlokole na mimi wapi na wapi bwashee 😆Kama sio Mbowe wa mchongo utakuwa Eng Peter [emoji1787]
C.H kuna totoz za moto , ukiwa mbele mbele lazima wakuunge gridii ya taifa bwashee 😁[emoji1787][emoji1787] kuna siku alileta shuhuda za Yesu, ila CH ina vituko sana
Unajua ukweli serikali iliyopo bado iko kwenye zama za kuuficha ukweli kwa gharama yoyote, na msema kweli ni muongoSerikali dhaifu ndio zilivyo,serikali makini na zinazo jiamini hujenga hoja madhubuti na kuonyesha dira
Hahaha mbona kina nyuro na ule umbwiga wanajibutulia tu 🤣 unafeli wap bwasheeKwani huwa mnazipataje? Nipe connection basi ya Dada Fundi