Mitambo ya analog kuwashwa tena

Mitambo ya analog kuwashwa tena

MT255

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2012
Posts
3,719
Reaction score
4,992
Habari wana jamvi ni jumatatu nyingine tulivu watu mbalimbali wakiwa katika mihangaiko ya kujitafutia riziki.swali langu wana jamvi je ni kweli mitambo ya analog kuwashwa tena?

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2
 
unamuuliza nani sasa? Kama huna cha kufanya nenda kalale ili ukue.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
wala sitashangaa kama wakiwasha tena maana hawana tofauti na umeme wa tanesco...daily wanatangaza mgao umeisha ila tunalala giza ht wiki kudadeki
 
Busara haiuzwi mkuu... Kumbuka kuuliza sio ujinga au kuna lililokukera katika post hii ? Sio kila kitu unataka kuchangia hata ukikaa kimya watu wanajua uwepo wako.

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2
 
Busara haiuzwi mkuu... Kumbuka kuuliza sio ujinga au kuna lililokukera katika post hii ? Sio kila kitu unataka kuchangia hata ukikaa kimya watu wanajua uwepo wako.

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2

Basi kwenye heading yako ungeweka alama ya kuuliza......mimi nimejua ndio unatuhabarisha........
 
Nashukuru Preta kwa kunifahamisha nilichokikosea katika kuwasilisha hii post

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2
 
Habari wana jamvi ni jumatatu nyingine tulivu watu mbalimbali wakiwa katika mihangaiko ya kujitafutia riziki.swali langu wana jamvi je ni kweli mitambo ya analog kuwashwa tena?

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2
Kwanini iwashwe? Ni kweli kuna watu wengi sana wameathiriwa na migration kwenda degital lakini hiyo ndiyo gharama ya maendeleo. Mimi nadhani watu wote tuvumiliane tupate hizi shs 40,000 za king'amuzi na sote twende DIGITAL
 
Startimes ilikuwa ni dili la wajanja wachache, hela yao imesha rudi sasa wanajidai wanataka kuwasha tena analogia.
Hivi tunaenda wapi sasa, mbele au nyuma?
Au ndio tumeamua kuwa wapiga makidamakida?
 
Humu JF Ni mahali Pa Watu wenye Hekima sio unajijibia majibu tu kama mlevi huna la kuchangia funga tigo yako ya usoni
 
Kulingana na ratiba iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano, na Mipangilio ya Kuelekea Dijitali kabla ya Ukomo Wa Analojia tarehe 17 June 2015, hakuna mpango wowote wa kuwasha mitambo ya analojia kwani gharama za kuendesha mifumo yote miwili ni kubwa na hakuna wa kuzigharamia kwenye maeneo ambayo yana dijitali.
 
Kulingana na ratiba iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano, na Mipangilio ya Kuelekea Dijitali kabla ya Ukomo Wa Analojia tarehe 17 June 2015, hakuna mpango wowote wa kuwasha mitambo ya analojia kwani gharama za kuendesha mifumo yote miwili ni kubwa na hakuna wa kuzigharamia kwenye maeneo ambayo yana dijitali.
Msemaji wa TCRA?
 
Back
Top Bottom