wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Ukifunga mita ya TANESCO hii ya Luku kwa mfano mita nimefunga mbezi, alafu nikahama Mbezi na mita yangu nikahamia labda magomeni na hiyo mita, nimesikie eti ni hadi nikahamishe location ya mita ili niweze kununulia umeme sehemu niliohamia bila hivyo siwezi pata hiyo huduma kwa hapo nitakapohamia.
Sasa swali ni hili. Je, inakuwaje kuna nyumba iko mkoani tena kijijini ina mita alafu luku tukinunulia huku Dar es Salaam tunapata na kutuma namba za hiyo luku mkoani na inaingia? Hivi kwani nini mtu kuhamisha kwa hapa Dar inaleta usumbufu eti ukajiandikishe upya kupata nyingine kwa nini isiwe hiyo hiyo mtu unahama nayo tuu kama tunavyohama na saa ya ukutani?
Naomba kufafanuliwa zaidi.
Sasa swali ni hili. Je, inakuwaje kuna nyumba iko mkoani tena kijijini ina mita alafu luku tukinunulia huku Dar es Salaam tunapata na kutuma namba za hiyo luku mkoani na inaingia? Hivi kwani nini mtu kuhamisha kwa hapa Dar inaleta usumbufu eti ukajiandikishe upya kupata nyingine kwa nini isiwe hiyo hiyo mtu unahama nayo tuu kama tunavyohama na saa ya ukutani?
Naomba kufafanuliwa zaidi.