Missed connection: ''kaka, Samora Road ndo iko wapi?''

Noma sana...huko posta ma diva wa design hii wapo sana sijui wengine ndo micjongo yao ...hua wana tokea from nowhere.
 
Lipa kodi ya nyumba usije sahau... Mama ntilie kamlipe pia. But story yako kipaji tosha umeipanga in high definition.
 
Hamjagundua tatizo? Alikuwa na buku asubuhi wakati anaamka, chai kabomu, jero katoa nauli, sasa si tayari ni uhanithi atampeleka wapi mrembo?

Sasa hivi ishu iliyompeleka taun ishalipa sasa kidume kimedinda wakati mrembo hayupo. Just thinkin' loud
Kwa style hii ya vichochoro na kutembea kwa mguu atabaki kuwaita watoto wa posta shemejiiiiiii
 
Mademu siku hizi huwa wanafunguka wenyewe sema na wewe j3 tshrt black chini ukaki na tims akajua baunsa wa bills.Huwa miguvu mingi akili hamna.

Ungepiga hata ushati wa draft.

Natania ila next time wajambia mbali hawacheleweshwi unachukua namba fasta.
 
yaani wewe nakuonea huruma laiti kama ungelikua karibu na mzee kifimbo cheza na hiyo lugha yako.
 
Mkuu wangu Kiranga, kwakweli kwa uzembe nilofanya leo, nastahiri bakora! Ila kichwa kilikuwa kimejam that time Mkuu.

Sikucheza kama Pele, ona sasa ninahamaki !
Hakuna uzege hapo mkuu Pengine halikua zali lako!
 
Umembwela mwamba sio kesi lakini bila doo mfukoni hata mm sound zinapotea tu
 
Duuh mwana, kama ulikuwa hujui kipaji chako ngoja leo nikusanue.

Kazi ya Erick shigongo unaiweza braza. Haha
 
Noma sana...huko posta ma diva wa design hii wapo sana sijui wengine ndo micjongo yao ...hua wana tokea from nowhere.


Upo sahihi Mkuu, mademu wa posta ndo mikato yao iyo. Wengine wanakuwa wapo 'kazini' in that style.
 


Mkuu nilinoga fureshi sana. Nilitinga simple american boot ya shingo fupi kabsa (not yale matims ya kibaunsa) hahaa. Kwenye kutupia am professional. When it comes to 'dressing code', the DOs & DONTs are at my finger tips. Njoo nikusupply maujanja ktk sector hii. Teh

Kweli wajambia mbali siyo wa kuwakawiza. Ila pia dizaini kama baadhi ya mademu wa posta ndo mikato yao iyo, coz hizi situations zishanitokea mara kadhaa huko huko mitaa ya postal na yote sikumbwela. Isipokuwa hii ya jana ndo cha ajabu nikaichukulia poa kabsa.

Naanza kuiwaza baadae sana usku. Nowma sana mzazi
 
Puli inakuhusu blaza...kweli __nge huja baada


Hahahaa ngenye huja baada. Umetisha sana mkuu. Nimefika geto eti ndo ngenye zinaanza kuflash back the diva. Nouma sana
 
Hakuna uzege hapo mkuu Pengine halikua zali lako!

Bora wew Mkuu umefikiria nje ya box la wachangiaji wengi. Surely hilo halikuwa zali langu, coz mitaa iyo iyo ya posta huwa nakutana sana na mikasa iyo na huwa nacheza kama Pele. Ila surprisingly jana yule gashi nilimchukulia poa kabsa. Cjuw kwa vile head ilishajam na mitikasi ya doo
 
Umembwela mwamba sio kesi lakini bila doo mfukoni hata mm sound zinapotea tu


Yep, kula tano baharia. Bila mavumba, huwezi kupangilia ngenga fureshi. Uchawi wa kizungu ndo lubricant muhimu sana ktk mitongozo. Ila haina nowma, barida tu.
 
Duuh mwana, kama ulikuwa hujui kipaji chako ngoja leo nikusanue.

Kazi ya Erick shigongo unaiweza braza. Haha


Hahahaa mkuu nakufa njaa uswazi wakati kumbe naweza fuata nyayo za Shigongo nikapiga hela. Lol. Sasa let me develop this damn talent. Sometimes it needs talent to discover your pure talent. Haha
 
Talent ya kuandika unayo,.mi nikidhani ni lara 1 karudi kivingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…