Kama unajua nini photoshop inaweza kufanya na unaweza kuitumia ni rahisi kujua baadhi ya vitu. mf, angalia kona ya nyumba juu na chini ipo straight afu katikati ina curve. then huyo mdada kuanzia kwenye kiuno kuna kama mduara flani ambao umeyaminya hayo makalio kiuno na hips..