hahaha yani me nahisi nina gundu
Sio gundu binti, mashindano ndo yalivyo!
da kipipi mwendo ni uleule
Ruhazwe mimi sitaki tena kushiriki shindano lako!!!!!!!!! Mwezi uliopita imenitoshaaaa!!!!!!! Nawaachia wengine nao wakukuruke! Ulidai wataka kuliboreha mbona hujaborehsa chochote?
Mi hata wakininominate Usiniweke, chansi hilo wape wengine walitumie ipasavyo!
Hii uswahilini kwetu wanaita ch*moa nij*mbe...
mi sina maamuzi,wanakupendekeza na wataamua kwenye kura,ukipendekezwa mi sina jins lazma niwatendee haki wana-cc
Sasa hapo ndo unakosea!!!!!!!!! Mtu lazima awe willing na kuonesha ushirikiano. Hivo mtu anapendekezwa anakuwa PASSIVE!!!!!!!! Kwanini mtu abembelezwe na kulazimishwa wakati hiyo nafasi wengine wanaitaka! Ruhazwe banaaaaaaa! Ifike mahali uwe kama Ludenga!!!!!!!!
Bado tu huo mtoano ?
Mbona mwaka umefika ukingoni so kama mmeshindwa kazi kamati ya harusi ivunjwe faster