Naunga mkono uamuzi wa Ethiopia, kwa kuwa hawakutawaliwa kama kina sie wengine kwani babu gamba alishasema kuwa UKIWA NA WARIDI NAWE LAZIMA UNUKIE HARUFU NZUUUUURIIII YA UA WARIDIITV Tanzania
Bunge la Ethiopia, limefutilia mbali
mkataba uliosaniwa wakati wa utawala
wa kikoloni, ulioipa Misri na Sudan, haki ya
kutumia maji mengi ya mto Nile. Serikali ya Ethiopia, imehoji kuwa
mkataba huo ulioidhinishwa mwaka wa
1929, umepitwa na wakati. Serikali ya Misri, imepinga vikali hatua hiyo
na imekasirishwa na uamuzi wa Ethiopia
wa kujenga bwawa la maji, katika mto
huo wa Nile, ikidai kuwa itapunguza maji
yake.
Siku ya Jumatatu rais Mohamed Morsi,
alisema hataki vita, lakini anachunguza
njia zote.
Bunge la Tanzania Limeshindwa nini kuvunja Mikataba ya Kifisadi serikali inayosaini?????????
OMBI MAALUMU:
Naomba Mods msipeleke hii mada jukwaa la Kimataifa,ina Maslahi ya Kitaifa na hapa ndipo watu wengi wanaiona!
embu nijuze kwa nini ethiopia haiwezi kuchapwa na egypt,.
Ni pm nisome vizuri.
Tnx
Hawa mods kichwa ngumu kweli...Lol...pamoja na ombi wameitupa humu
Sina haja ya kuku-pm ila kama unavyojua uhusiano uliopo kati Ethiopia na Israel ni kama mtu na ndugu yake na uhasama uliopo kati ya Misri na Israel ni kama binadamu na nyoka. Vita ya Misri na Ethiopia ni kama kusema itakuwa vita ya Israel na Misri na hapo nadhani unaelewa namaanisha nini..Misri atasaidiwa na Waarabu wote na Israel kama kawaida atakuwa na US backing......hadi hapo changanua mwenyewe ujue nini kitatokea......Israel anatafuta sana namna ya kupima uwezo wake na Waarabu kijeshi na proxy ya ambayo atapiganisha Ethiopia na Egypt itakuwa fursa nzuri kwake kudhihirisha uwezo wake.
Egypt wanajua hilo na kamwe hawatataka vita na Ethiopia.......pia ujue Ethiopia ni moja ya nchi zenye uwezo mkubwa sana wa kivita hata bila msaada wa Israel
Mkuu kwani ule mkataba wa amani kati ya Israel na Misri si bado upo?
Sina haja ya kuku-pm ila kama unavyojua uhusiano uliopo kati Ethiopia na Israel ni kama mtu na ndugu yake na uhasama uliopo kati ya Misri na Israel ni kama binadamu na nyoka. Vita ya Misri na Ethiopia ni kama kusema itakuwa vita ya Israel na Misri na hapo nadhani unaelewa namaanisha nini..Misri atasaidiwa na Waarabu wote na Israel kama kawaida atakuwa na US backing......hadi hapo changanua mwenyewe ujue nini kitatokea......Israel anatafuta sana namna ya kupima uwezo wake na Waarabu kijeshi na proxy war ambayo atapiganisha Ethiopia na Egypt itakuwa fursa nzuri kwake kudhihirisha uwezo wake.
Egypt wanajua hilo na kamwe hawatataka vita na Ethiopia.......pia ujue Ethiopia ni moja ya nchi zenye uwezo mkubwa sana wa kivita hata bila msaada wa Israel