hawa jamaa ni sound tu mwana, wana zaidi ya miaka mitatu hawajaajiri, mbona hajasema ni tarehe au mwezi wa ngapi ajira zitatoka?. Halafu wanadai kuwa wana plan ya kuajiri Maafisa misitu 2,500 wakati idadi ya maafisa misitu ukiwajumlisha Tz yote hawafiki 1500. Ina maana asingealikwa ktk hiyo sherehe asingesema hiyo habari ya ajira au?