Munkari yupo ndoani,mumewe naye yumo humu JF anaitwa
Mokoyo,mara ya mwisho alikuwa anafanya kazi Sudan lakini kwa sasa yupo hapa bongo kila siku anatembea na kikopo,watu wanasema ni tindikali ila mi sina uhakika na hilo.Baba mkubwa
Kaizer alisema eti pia ana mguu wa kuku,kwa hiyo ukitaka aku Ufosaro endelea tu mkuu!