MISINGI YA NDOA !! Zingatia!!!!!

Madame B upoooooooooo!! nazidi tu kuamini yeye ni wife material,anaupendo hadi shetani anamuogopa!!

hahaha! Mgomvi wewe!! Na uyazingatie hayo ! Siyo kesho na kesho kutwa unamsema mkeo mbele za watoto heshma ichukue mkondo wake ! Umeelewa mwekundu? Cc Himidini
 
Last edited by a moderator:
Madame B upoooooooooo!! nazidi tu kuamini yeye ni wife material,anaupendo hadi shetani anamuogopa!!

Nipo mdogo wangu.
Unajua nini ee... Najua nimeingia sehemu sahihi katika suala zima la mahusiano.
Himidini hana tatizo nami.
Nawe usiwe na wasi na Munkari.
 
Last edited by a moderator:
ila ndoa bila Mungu aisee inakuwa ngumu kweli. ni vyema kumshirikisha Mungu sana kwa mambo yote yaliyo na yasio katika uwezo wenu. maana msingi wa ndoa ni Mungu mwenyewe.
 
ila ndoa bila Mungu aisee inakuwa ngumu kweli. ni vyema kumshirikisha Mungu sana kwa mambo yote yaliyo na yasio katika uwezo wenu. maana msingi wa ndoa ni Mungu mwenyewe.

yap true true!! Mungu ni muweza wa yote! Bila kumsahau yeye!!
 

munkari uko ndoani au we kungwi? vigezo vyote ninavyo naomba nikuone kama bado uko single.
 
munkari uko ndoani au we kungwi? vigezo vyote ninavyo naomba nikuone kama bado uko single.
Munkari yupo ndoani,mumewe naye yumo humu JF anaitwa Mokoyo,mara ya mwisho alikuwa anafanya kazi Sudan lakini kwa sasa yupo hapa bongo kila siku anatembea na kikopo,watu wanasema ni tindikali ila mi sina uhakika na hilo.Baba mkubwa Kaizer alisema eti pia ana mguu wa kuku,kwa hiyo ukitaka aku Ufosaro endelea tu mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru mtoa mada sasa ni kukazana kuomba milango ya baraka iendelelee kufunguka ili tukifanikiwa tukapate kuyapractise na tunawaombea waliopo wapate kuyaangalia kwa kina. asante mtoa mada upate kujawa na furaha ya moyo.
 

hahaha! Loh nashukuru kwa jibu zuri murua!! Ushamaliza ntafute nikununulie kijoti na chama!!
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru mtoa mada sasa ni kukazana kuomba milango ya baraka iendelelee kufunguka ili tukifanikiwa tukapate kuyapractise na tunawaombea waliopo wapate kuyaangalia kwa kina. asante mtoa mada upate kujawa na furaha ya moyo.

asante Shuju barikiwa saaana!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…