Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?

Why do we allow the donors to draw them up? And why are our leaders not answerable to anybody? Yaani leaders ambao hata hawafiki 1% of the country's population tushindwe kuwawajibisha? Je wao si watanzania ambao ni kaka zetu na dada zetu? Mbona wamekuwa wakibadilika from time to time lakini out put ni ile ile. Je are they not reflecting our society's behaviour?

We can blame everybody if we do not sit down and reasses where we had gone wrong the status quo will continue.

Whether good or bad the policies are it all depends on how we operationalize them. If they are just being documented while we practice different things on ground we should not expect miracles. A good policy is that which is implementable atleast the mother of institution Elinor Ostrom agrees on this; it is not how they sound or read good when are in documents.

Example we have policies on corruption prevention vipi uta i implement hii policy wakati huduma za jamii mbovu na watendaji wachache (mfano nesi mmoja kuhudumia wodi nzima ya watoto let say 12)? Nikianza na law enforcement kama key organ katika ku raise social capital; mahakimu wachache, miundo mbinu duni, mishahara midogo inayotoa incentive ya kutosha mtu kuomba rushwa etc sasa hapo ni policy ndo mbovu au ni kipi? Policy ili iwe nzuri lazima kuwe na act ambayo itawezesha kui operationalize na hiyo act lazima iwe enforced bila kuangalia sura au nafasi ya mtu huku yule anaye fanya enforcement asiwe na sababu ya lazima (Basic needs) kufanya tofauti na anavyotakiwa kufanya. Hii ikitokea in the long run inaondoka from practice na kuwa culture ambayo ndo inayo influence behaviour na hatimaye kuraise social capital.

So my dear friends hakuna short cut tunalazimika sote kwa pamoja kukataa kuburuzwa let us set our priorities right kwa kuhakikisha tunaamua kuachana na ushabiki na kuingia katika utendaji. Kama Sugu and the cores waliweza kubadili mtazamo wa watanzania katika muziki na kuondokana na kasumba ya kupenda miziki ya nje then hii peke yake inatosha kutuaminisha kwamba tukiamua kama taifa kuacha kuimba nyimbo za ooh viongozi wabovu wakati tunawaweka wenyewe; ooh serikali haisikii wakati tuna nguvu kuizidi serikali; serikali ina nguvu iwapo mtamwacha Felister for example akawa spotted kuwa yeye ndo pekee anaikosoa au kuilazimisha kutenda tofauti. Iwapo kila mtanzania ataamua kuacha unafiki na kuiwajibisha, serikali au kiongozi yeyote hana hizo nguvu za kuilazimisha jamii ifanye isicho amini kwasababu iliwekwa na watu unless kama ni ya kijeshi na hata kama ikiwa hivyo bado haiwezi zima nguvu ya uma.

Nakubaliana na wewe hasa hapa kwenye red, but how?


 
[/COLOR]
Nakubaliana na wewe hasa hapa kwenye red, but how?



One and immediate strategy ni kuanzisha presure groups kama jf, vikundi vidogo vidogo vya wakulima, wafanyakazi, wafanya biashara, etc ambavyo haviko diversified kwa maana ya kwamba kama ni wakulima basi kuwe na similarity kubwa e.g kielimu, kimapato etc. ili viwe united katika madai specific yanayowahusu wao. Then kwa swala la kitaifa wote tuna kuwa united kudai kwa pamoja lakini kila mmoja kwa mpangilio wake ila tuna fanana kwa wakati tu..that on that day tunakwenda kuweka presure on something inayohusu taifa. NGOs, serikali na vyama vya siasa zinaweza zika facilitate formation za hizi groups kwa kutoa elimu ya uraia jinsi ya kuviunda na kuviendesha kwa maslahi ya taifa. Long term strategy ni kuvipa hivi vikundi nguvu ya kisheria baadaye katika katiba mpya.

Strategy nyingine ni kuwa empower citizens katika sekta ya uchumi. How? This is very technical naomba vyama vya siasa visiishie tu katika kutaka uongozi wa kijumla they can still initiate or rather implement some of their policies kwenye maeneo ambapo wameshinda chaguzi bila kutegemea cash from government kwa malengo ya kujiahakikishia kupata kura kwa muda mrefu katika hayo maeneo mf. Karatu nasikia elimu inatolewa bure kwenye hiyo halmashauri kama ndivyo piga ua honga usihonge wananchi wako tayari kupambana na mtu yeyote yule atakaye jaribu kuondoa huo uongozi. Kama uta maintain hayo maeneo na kuongeza zaidi baada ya muda pengine hiyo ni pressure kubwa kwa chama tawala kuliko kitu chochote maana na wao watajitathimini naku give in kwa some of the demands kabla mambo hayajawa mabaya maana una attack strategy zao technically.

If you mobilize people and give them right technics za kujikwamua kiuchumi they can, wanachohitaji ni coordination/ governance tu and in the long run unaondoa possibility ya hao watu kuhongwa na vitu vidogo vidogo ambavyo siyo sustainable. Kiukweli ni kuwa theory za uchumi zina sema all humanbeings are rational beings and are cost conscious. Most important is the poor are risk averse. Unaweza shangaa kwanini rural/ urban poor wanakubali kuhongwa pilau na khanga ukadhani ni wajinga?....no wewe ndo utakuwa hujajitambua. Huyu ame calculate ipi bora ale pilau kila baada ya miaka mitano na kupata khanga au asile milele? Kwasababu anauwezo wa ku calculate risks/uncertainty and costs za either kukubali hiyo pilau once for five years au asipate kabisa.

Ukiwaondoa watu katika shida ya kupata mlo unajenga ulinzi wa kudumu wa hiyo dola/uongozi maana watapenda kuendelea kuwa na hao. Unafikiri ni kwa nini western/developed countries wana subsidize wakulima wao? Angalia kwanini wamekubali kuondoa ushuru kwenye bidhaa zingine zote lakini si mazao? Wanajua Taifa lolote au household yeyote haiwezi kuwa huru kama haina chakula here means uhakika wa kula in either cash or with food products.

So ukitaka kuwa komoa wahongaji we pandisha average cost ya kuhonga kwa ku empower voters waweze kula pilau na kununua tshirts and khanga bila kupewa hisani. Wataanza kuhonga makubwa zaidi na wewe unaendelea kupandisha costs and in the long run inakuwa hailipi tena kuhonga bali kuwa na democracy. Kwakuwa costs zinakuwa kubwa kuliko benefits.

Theory za institutions pia zina sema binadamu ni problem solvers. So msiumize vichwa sana jinsi ya kuwa kwamua raia just involve and engage them wanajua wanachokitaka they only miss wakuwa organise. Ukiwa organise wataweka sheria zao wenyewe na wataji monitor wenyewe. Uhakikishe tu huwa ingili sana katika mambo yao bali wewe unakuwa referree(sp?) tu. Huku ukihakikisha by-laws enforcement bila upendeleo kuondoa free riding ya wachache wapenda vyakunyonga....
 
In my opinion the realistic approach is first to get rid of irresponsible leaders or you make the law function before you can begin to implement anything.

mkuu JC hivi ethical codes of conduct for leaders zimekaaje..... zinawafavour viongozi wetu au hazifuatwi.... niulize kwa nini... it happens mtu anaqualify vizuri kuwa kiongozi but immediately he jumps in.., he will immediately turn into maladministration ..... why and why...... na hiki ndio kilema cha irresponsible leaders ....., i am out to be tired everytime.....
 
Again nakubaliana nawe Felister, na ili kuushinda ule usemi unaosema " usikubali kushindwa kabla hujaanza" ni vizuri sote tunaoyapitia mawazo haya kuona tunawezaje kusaidia kuya-impliment. Kila mtu katika eneo alipo anaweza kutoa mchango wake kulingana na ujuzi alionao na similarity wake. Ukweli tunaweza kuwa na pressure groups wala si kwa ajili ya kuwa wapinzani bali kwa ajili ya kujijengea uwezo, ili yule mrubuni ashindwe kuturubuni.
Kwa sehemu kubwa JF tunahitaji mawazo yanayofika hatua hii si kuonyesha tatizo tu bali na kutoa mawazo jinsi ya kulitatua, wakati umefika kufikiria kuwa hakuna ambaye ana jukumu la kuleta mabadiliko isipokuwa sisi wenyewe. Mabadiliko yataanzia chini huku tulipo, na ili tuweze kuyaleta hayo mabadiliko inabidi kukabiliana vizuizi kama alivyoviorodhesha Felister (hali ya kiuchumi, tofauti za makundi n.k).
Haya mawazo ya Chadema imefanya nini, Cuf imefanya nini (yaani kumtegemea fulani afanye badala yetu) nafikiri tutachelewa sana kufika.
IT CAN BE DONE PLAY YOUR PARTY!
 
Back
Top Bottom