Mishkaki adimu.....!!!

Jamaniiii....... nilipata ka appetite kidoogooo nikaja mbiooooo dooh!! ndo umeshakapeperusha tayari kamepotea nimerudi kule kule. .....🙁
Hahaha dadangu kumbe (wowowo) hautumii?
 
Twende kule kwetu umasaini nyama choma ilipoasisiwa, utachomewa nyama ya mbuzi vizuri hata mguu mzima utaumaliza peke yako.

Hapo umesema baba yeyoooo ila sitamalisa yote hiyo, mi napendaga ile maini ya nje.... ile inaning'inia kwa nje hehehhee

Salimie ikoo.

Ever Smiling Kasie.
 
Hapo umesema baba yeyoooo ila sitamalisa yote hiyo, mi napendaga ile maini ya nje.... ile inaning'inia kwa nje hehehhee

Salimie ikoo.

Ever Smiling Kasie.
Hahaha...ile utachomewa fisuri sana lakini itakujaza ny.ge sana kasie.
 
Hapo umesema baba yeyoooo ila sitamalisa yote hiyo, mi napendaga ile maini ya nje.... ile inaning'inia kwa nje hehehhee

Salimie ikoo.

Ever Smiling Kasie.
Hahahaha
 
Hahaha...ile utachomewa fisuri sana lakini itakujaza ny.ge sana kasie.

Ndo kitu nataka..... nyege ni nsuri sana....

Muda wote unakuwa tayari hata ukisema suuu kule kunajibu aaaaaaammmmm kama unameza hewa Hehehehehehehee takwiinyaaa.

Salimie sana baba yeyoooo.
 
Ndo kitu nataka..... nyege ni nsuri sana....

Muda wote unakuwa tayari hata ukisema suuu kule kunajibu aaaaaaammmmm kama unameza hewa Hehehehehehehee takwiinyaaa.

Salimie sana baba yeyoooo.
iikooo...hapo sawa, sasa nakusubiri huku Nainokanoka, sisi bado hatujamaliza mwaka na nyama ipo miingi tu.

Nitakupa na supu yenye dawa nsuuuri ya huo mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…